Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mko wapi?Hatupo huko sisi kwa maskini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mko wapi?Hatupo huko sisi kwa maskini.
Uchumi wa kati.Mko wapi?
Jibuni hoja acheni kukimbia hoja hapa na kuleta ngonjeraAsiposikia na hili basi kweli huyu atakua masaaburi
Kuanzia sasa utaitwa Mwashambwa Masaburi.Uchumi wa kati.
Kichaa ana hoja Gani??Jibuni hoja acheni kukimbia hoja hapa na kuleta ngonjera
Huyo mama m-CCM hapo pembeni anaonesha ameshikwa na njaa sana.Wampe hata michembe au matobholwa atafune polepole.Kichaa ana hoja Gani??
View attachment 2996433
Hakuna chama kimejaa "Wapumbavu" kama chama cha kijaniHuyo mama m-CCM hapo pembeni anaonesha ameshikwa na njaa sana.Wampe hata michembe atafune polepole.
Wamepea viwango.Maamuma.Hakuna chama kimejaa "Wapumbavu" kama chama cha kijani
Kweli wewe hujitambui hata kidogo.sasa hii ndio inajibu nini katika hoja zangu? Naona hoja yangu imekuwa kama msumari wa moto kwenye kidonda kibichi. Maana wote mmeishiwa kuruka ruka na wengine kuishia kutukana matusi tu utafikiri mmechanganyikiwa.Kichaa ana hoja Gani??
View attachment 2996433
Matokeo ya Uchaguzi wa 2020 nani alipika takwimu? Unapokuja na hoja kama hiyo jaribu kushirikisha akili yako, maana hata sisi tusioshabikia upande wowote tunajikuta kudharau hoja ya kipuuzi kama hiyo.Mmeumbuka ile mbaya na ma uongo yenu ya kupika matakiwmu ya kizushi na kitapeli.
Twende hoja kwa hoja.naomba uniambie kuwa CHADEMA ina wanachama hai wangapi? Maana Mimi nimethibitisha ki ahesabu kuwa CHADEMA Haina wanachama hai hata laki tano tu achilia mbali miilion moja?Matokeo ya Uchaguzi wa 2020 nani alipika takwimu? Unapokuja na hoja kama hiyo jaribu kushirikisha akili yako, maana hata sisi tusioshabikia upande wowote tunajikuta kudharau hoja ya kipuuzi kama hiyo.
1. Aliyesema minimum ya mchango ni Tsh 1K ni nani?
2. Kama miongoni mwa walio changa wapo wanachama wa vyama vingine?
3. Mchango huo ni hiari, kwanin unafanya kama kulazimisha kuwa ni lazima kuchanga na ku set minimum amount ya mchango?
4. Hali ya uchumi kwa mtu mmoja mmoja ni mbaya sana, unapoona watu wanashindwa kuchangia hata hiyo 1K, elewa takwimu zinazotolewa kuhusu kipato cha watanzania kina walakini.
5. Tuambie methodology uliyotumia kuja na wastani wa Tsh 1K kwa kila mtu aliyechangia.
Pamoja na kuchukua uamuzi wa kuwa msifiaji tu, jitahidi kuwa na critical analysis ya kile unachosifia, umekuwa msifiaji hata kwenye maeneo ambayo yana mapungufu makubwa ya kiutendaji!
Kumbuka, haya unayoandika humu hayafutiki, siku moja utatamani yafutwe. Muda ni mwalimu mzuri sana.
Mwenye akili anajibu hoja kwa hoja ila asiye na akili ndio anatoa maneno kama yakoHujawahi kuwa na hoja wewe, wewe ni mpumbavu na Siku hao unaowashadadia watakapokugeuka ndio akili zitakurudia. Weka namba ya Simu tena!
Wewe tangu umepakuliwa asali Yako baada kufungwa miezi 6 jela kwa kuuza sukari ya magendo akili hazijarudi mshukuru Sana yule diwani vinginevyo ungekuwa unapika na kutandika muda huuJibu hoja huko CHADEMA mna pesa chafu ndio maana hamtaki kumchangia Lissu? Au umekurupuka tu kujibu hoja.
KURA YANGU SIRI YANGU.Ndugu zangu Watanzania,
Michago ya kumchangia Lissu Fedha za kununulia Gari imewaumbua sana CHADEMA, imewapa aibu,fedheha ,imewavua nguo hadharani na imeonyesha na kuthibitisha kauli yangu nayosemaga humu jukwaani kuwa CHADEMA imepuuzwa na inaendelea kupuuzwa na mamilioni ya watanzania kila uchwao.
Michago inayoendelea kuchangwa imeonyesha CHADEMA haina wanachama hai hata million moja tu.imeonyesha CHADEMA huwa wanapika takwimu ili kuwapofua macho na akili wafuasi wake kiduchu na wafadhili wao. Sasa kwa sasa tangia michango imeanza kuchangwa kwa ajili ya Lissu, CHADEMA na wana CHADEMA mpaka muda huu wameshindwa kufikisha millioni 30.
Sasa tizama mahesabu haya kutoka kwangu Mwashambwa Lucas kada kindaki Ndaki wa CCM.
Kama CHADEMA ingekuwa na walau wafuasi na wanachama hai hata laki tano Tuuuu yaani 500,000 na kila mwanachama akachanga walau elfu moja tu maana yake mpaka sasa ingekuwa imepatikana Million mia tano keshi. Yaani
500,000×1000= 500,000,000/=
je pesa hizi zisingetosha kununua gari analolitaka Lissu na chenji kubaki??
Kama CHADEMA ingekuwa na wafuasi Million moja na kila mtu akachanga walau shilingi mia tano maana yake ni kuwa bado Lissu angepata millioni mia tano keshi.
Sasa hao mamilioni ya wanachama ambao CHADEMA huwa inasema inao wengi kuliko wana CCM wapo wapi? Wamejificha wapi? Hawajaona na kusikia kuwa Lissu anahitaji na kuomba walau hata miatano tu? Ikumbukwe kuwa CHADEMA huwa wanasema wana wanachama zaidi ya millioni kumi.
Sasa kama kati ya wanachama zaidi ya milioni kumi wanashindikana kupatikana hata wanachama laki tano tu wa kuchangia elfu moja tu ili kupata million mia tano.je hamuoni kuwa chama hiki kinapika takwimu mara nyingi?
Hata zile kura alizopata Hayati Lowassa mwaka 2015,zilitokana na mgawanyiko uliotoka ndani ya CCM katika upatikanaji wa mgombea Urais. Hata katika ngazi ya ubunge mahali popote pale wanapopata ubunge CHADEMA huwa ni kura za wana CCM wenzetu wanaokuwa wamegawanyika nakupiga kura za hasira kwa upinzani kama sehemu ya kutoridhishwa wakati mwingine na jina linalokuwa limerejeshwa na vikao vya juu.
Lakini kama sisi sote Wana CCM Pamoja na mashabiki wetu na wakereketwa na wanachama kindaki ndanki tukiamua kupigia kura wagombea wetu,nawahakikishia CHADEMA na upinzani wote kuwa hakuna kiti kinachoweza kwenda upinzani kuanzia mwenyekiti wa kitongoji hadi ngazi ya Urais. Upinzani hauwezi kuambulia chochote kile.
Na kwa sasa wale Wana CCM wachache waliokuwa wanapiga kura za hasira kwa upinzani hasa CHADEMA wamejifunza na kujutia makosa yao kwa machozi na maumivu makali sana.wametambua kuwa walikuwa wanajikomesha wenyewe na siyo chama.maana wameona upinzani kazi yao ni kupinga kila kitu na kila jambo pasipo kumpigania mwananchi kwa lolote lile. Kwa hiyo huu mserereko na mteremko waliokuwa wakipata CHADEMA kwa sasa wasahau kabisa kuupata.maana kila mwana CCM amejilia kiapo cha kuipa kura ya ndio CCM Katika kila ngazi ya uchaguzi.
Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa. CHADEMA njooni Nataka tubishane kwa hoja na siyo makelele na matusi. Weka hesabu nami niweke hesabu. Weka takwimu nami nishushe nondo za uhakika. Raha ya CCM Ni kubishana kwa hoja na siyo matusi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kutoa ni moyo, usambe utajiri!Ndugu zangu Watanzania,
Michago ya kumchangia Lissu Fedha za kununulia Gari imewaumbua sana CHADEMA, imewapa aibu,fedheha ,imewavua nguo hadharani na imeonyesha na kuthibitisha kauli yangu nayosemaga humu jukwaani kuwa CHADEMA imepuuzwa na inaendelea kupuuzwa na mamilioni ya watanzania kila uchwao.
Michago inayoendelea kuchangwa imeonyesha CHADEMA haina wanachama hai hata million moja tu.imeonyesha CHADEMA huwa wanapika takwimu ili kuwapofua macho na akili wafuasi wake kiduchu na wafadhili wao. Sasa kwa sasa tangia michango imeanza kuchangwa kwa ajili ya Lissu, CHADEMA na wana CHADEMA mpaka muda huu wameshindwa kufikisha millioni 30.
Sasa tizama mahesabu haya kutoka kwangu Mwashambwa Lucas kada kindaki Ndaki wa CCM.
Kama CHADEMA ingekuwa na walau wafuasi na wanachama hai hata laki tano Tuuuu yaani 500,000 na kila mwanachama akachanga walau elfu moja tu maana yake mpaka sasa ingekuwa imepatikana Million mia tano keshi. Yaani
500,000×1000= 500,000,000/=
je pesa hizi zisingetosha kununua gari analolitaka Lissu na chenji kubaki??
Kama CHADEMA ingekuwa na wafuasi Million moja na kila mtu akachanga walau shilingi mia tano maana yake ni kuwa bado Lissu angepata millioni mia tano keshi.
Sasa hao mamilioni ya wanachama ambao CHADEMA huwa inasema inao wengi kuliko wana CCM wapo wapi? Wamejificha wapi? Hawajaona na kusikia kuwa Lissu anahitaji na kuomba walau hata miatano tu? Ikumbukwe kuwa CHADEMA huwa wanasema wana wanachama zaidi ya millioni kumi.
Sasa kama kati ya wanachama zaidi ya milioni kumi wanashindikana kupatikana hata wanachama laki tano tu wa kuchangia elfu moja tu ili kupata million mia tano.je hamuoni kuwa chama hiki kinapika takwimu mara nyingi?
Hata zile kura alizopata Hayati Lowassa mwaka 2015,zilitokana na mgawanyiko uliotoka ndani ya CCM katika upatikanaji wa mgombea Urais. Hata katika ngazi ya ubunge mahali popote pale wanapopata ubunge CHADEMA huwa ni kura za wana CCM wenzetu wanaokuwa wamegawanyika nakupiga kura za hasira kwa upinzani kama sehemu ya kutoridhishwa wakati mwingine na jina linalokuwa limerejeshwa na vikao vya juu.
Lakini kama sisi sote Wana CCM Pamoja na mashabiki wetu na wakereketwa na wanachama kindaki ndanki tukiamua kupigia kura wagombea wetu,nawahakikishia CHADEMA na upinzani wote kuwa hakuna kiti kinachoweza kwenda upinzani kuanzia mwenyekiti wa kitongoji hadi ngazi ya Urais. Upinzani hauwezi kuambulia chochote kile.
Na kwa sasa wale Wana CCM wachache waliokuwa wanapiga kura za hasira kwa upinzani hasa CHADEMA wamejifunza na kujutia makosa yao kwa machozi na maumivu makali sana.wametambua kuwa walikuwa wanajikomesha wenyewe na siyo chama.maana wameona upinzani kazi yao ni kupinga kila kitu na kila jambo pasipo kumpigania mwananchi kwa lolote lile. Kwa hiyo huu mserereko na mteremko waliokuwa wakipata CHADEMA kwa sasa wasahau kabisa kuupata.maana kila mwana CCM amejilia kiapo cha kuipa kura ya ndio CCM Katika kila ngazi ya uchaguzi.
Naweka kalamu yangu chini na kuishia hapa. CHADEMA njooni Nataka tubishane kwa hoja na siyo makelele na matusi. Weka hesabu nami niweke hesabu. Weka takwimu nami nishushe nondo za uhakika. Raha ya CCM Ni kubishana kwa hoja na siyo matusi.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa. Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Inamaanisha CHADEMA hawana kabisa moyo wa kutoa na niwapiga makelele na mayowe tuKutoa ni moyo, usambe utajiri!
Tantalila,Kwa hiyo hao wanaojaa kwenye Mafuriko yenu Wameshindwa kutoa hata jero Kwa kamanda wao? 😆😆😆😆😆😆😆Kukubalika kwa kiongozi kunapimwa kwa kura halali, na sio kwa michango ya fedha.
📌📌📌📌📌🔨 😆😆😆😆😆 Bado hujasemaInakuhusu!? Au unachanganya nyeege na umalaaya
CHADEMA mmeshapuuzwa na Watanzania na ndio maana unaona hata michango inakwenda kwa kuchechemea.Chadema Sio Chama cha Mafisadi papa kama ilivyo CCM. Chadema ni chama cha wananchi wanyonge waliodhulumiwa na wakoloni weusi CCM. Huenda wanakosa elfu moja kuchangia lakini mioyo yao ipo na Chadema. Hicho kiwango chote kilichochangwa na wanachama wa Chadema kinaweza changwa na fisadi moja tu wa CCM 🤔