Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,606
- 6,672
Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo ambayo baadaye itapakiwa kwenye vyombo vingine vya usafiri ili kuzifikia nchi zilizotajwa.
Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.
Video hii hapa: Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi
Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.
Video hii hapa: Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi