Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani huo ndio uwezo wake wa uelewa, ni ajabu amepata ajira kwa uelewa huo, yawezekana sio MtanzaniaYaaan wee upo sawa na mimi..
Wanamuonea bure tuu .
Ukute hata yeye alipewa script sio 😂😂😂😂
Yaaah uwezo wake mdogo sana..Yaani huo ndio uwezo wake wa uelewa, ni ajabu amepata ajira kwa uelewa huo, yawezekana sio Mtanzania
Aliye mwandalia anahusika, ye kasoma tuYaaan wee upo sawa na mimi..
Wanamuonea bure tuu .
Ukute hata yeye alipewa script sio 😂😂😂😂
Yaaani wamemuonea sana 😂😂😂😂😂Aliye mwandalia anahusika, ye kasoma tu
Na alivyofafanua ameeleza kwa bashasha kwelikweli utadhani kapatia. Kitaalamu tunasema kaenda WRONG IN DEEPHuyo hakusoma geography....hata atlas alikuwa haipitiiii[emoji23][emoji23].
Pili hajui hata ziwa limeanzia wapi na linaishia wapi
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23]wamemuuliza kwanza huenda akawa anamatatizo yakisaikolojia au alipitiwa sisi ni binadamu hali kubadirika muda wowote!
Halafu ana degree usikute kutoka SAUT au MlimaniHuyo mtangazaji wa tbc atueleze meli iliyoko ziwa victoria itakwendaje south sudan na zambia
😁😁😁🙌[emoji81][emoji81]tuna vichaa wengi tu hasa wanao anza kwa kumshukuru Rais hata pasipo itajika
Katika utangazaji hata ukifanya presentation za juu ,jaribu kuwa na script sana maana kuna emotions fulani hivi ukileta manjonjo lazima utashangaa unatoka nje ya mda .wamemuuliza kwanza huenda akawa anamatatizo yakisaikolojia au alipitiwa sisi ni binadamu hali kubadirika muda wowote!
🤣🤣Kasoma na jumalokole na baba levo
Huyo mtangazaji amesoma mpaka la ngapi?
Kumbuka alisema kuwa ni kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Huduma za Meli Tanzania.Huyo hakusoma geography....hata atlas alikuwa haipitiiii[emoji23][emoji23].
Pili hajui hata ziwa limeanzia wapi na linaishia wapi
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Degree holder ya SAUTI alisoma na GENTAMYCINE