Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawewe ni mmoja miongoni mwa hao wanne kulingana na takwimu?Leo iwe alpha na omega kuposti hii nitawakata makanyagio walayhi
Mpaka la 7B
Huyo mtangazaji amesoma mpaka la ngapi?
Kazi ipo
WtfNawewe ni mmoja miongoni mwa hao wanne kulingana na takwimu?
Yaani huo ndio uwezo wake wa uelewa, ni ajabu amepata ajira kwa uelewa huo, yawezekana sio Mtanzania
Wongo mtupu. Ndio shida ya kuwa mtu mzima chawa, yani unasema kila kitu bila reasoning.Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo ambayo baadaye itapakiwa kwenye vyombo vingine vya usafiri ili kuzifikia nchi zilizotajwa.
Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.
View attachment 2949115
Video hii hapa: Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi
Huyo aliyetoa huu ufafanuzi hapo TBC naye achukuliwe hatua.Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo ambayo baadaye itapakiwa kwenye vyombo vingine vya usafiri ili kuzifikia nchi zilizotajwa.
Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.
View attachment 2949115
Video hii hapa: Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi
Yaani mtu aliyesoma somo la Jiografia shule ya msingi angeshtuka kuisoma hiyo habari, si kama alivyofanya huyo mtangazaji.Ukute Ndo wale CDF mobeyo aliowataja kua wahamiaji waliopewa vitengo nyeti serikalini
Ameonewa, mbona yule waziri aliyesema Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe hakuchukuliwa hatua zozote.Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo ambayo baadaye itapakiwa kwenye vyombo vingine vya usafiri ili kuzifikia nchi zilizotajwa.
Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.
View attachment 2949115
Video hii hapa: Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi