TBC: Mfanyakazi aliyesoma habari kuhusu Meli ya MV Mwanza amechukuliwa hatua

TBC: Mfanyakazi aliyesoma habari kuhusu Meli ya MV Mwanza amechukuliwa hatua

Wameanza kwa kumtetea kuwa alimaanisha blah blah kisha eti alichukuliwa hatua!

Ni UONGO.
 
Mtangaza habari katuabisha wanaume. Ilitakiwa alale ndani polisi na vyeti vichunguzwe. Katika hali ya kawaida meli inaendaje Sudani wajameni? Au alikuwa amekunywa? Madhara ya watu kupewa kazi bila kusomea ndio haya
 
Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo ambayo baadaye itapakiwa kwenye vyombo vingine vya usafiri ili kuzifikia nchi zilizotajwa.

Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.

View attachment 2949115

Video hii hapa: Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi
Wongo mtupu. Ndio shida ya kuwa mtu mzima chawa, yani unasema kila kitu bila reasoning.
 
Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo ambayo baadaye itapakiwa kwenye vyombo vingine vya usafiri ili kuzifikia nchi zilizotajwa.

Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.

View attachment 2949115

Video hii hapa: Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi
Huyo aliyetoa huu ufafanuzi hapo TBC naye achukuliwe hatua.

Hiyo mizigo ya Malawi au Zambia kwenye Mv Mwanza itakuwa inatokea wapi?

Hawa jamaa wa TBC wanatuonaje?
 
sasa kama kuutwaaaa watu wanawaza teuzi tu wanashukuru rais hadi mvua ikijinyeshea zake huko unategemea nini?
 
Huyo muandishi yupo sawa, c mnajua tena tupo kwenye kipindi cha kusifia hadi kupitiliza
 
Vongozi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) unapenda kutoa fafanuzi kuhusu sehemu ya maudhui ya matangazo mbashara ya hafla ya ushushaji wa Meli ya MV Mwanza, Ziwa Victoria iliyofanyika tarehe 12 Februari, 2023 kwamba mtangazaji alichokusudia kukisema ni kuwa MV Mwanza itasafirisha mizigo ambayo baadaye itapakiwa kwenye vyombo vingine vya usafiri ili kuzifikia nchi zilizotajwa.

Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.

View attachment 2949115

Video hii hapa: Mtangazaji wa TBC 1 anasema meli ya MV Mwanza itapiga route ikiwa ziwa Victoria kwenda Sudani Kusini, Burundi, Zambia Congo na Malawi
Ameonewa, mbona yule waziri aliyesema Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zimbabwe hakuchukuliwa hatua zozote.
 
Inasemekana walimcheleweshea mshahara akaamua asome habari vibaya
 
Back
Top Bottom