TBC: Mfanyakazi aliyesoma habari kuhusu Meli ya MV Mwanza amechukuliwa hatua

Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.
Kosa lake liko Wapi? Si wamesema ni Sahihi kuna mizigo ya kuelekea huko?
 
Tutajiwe jina ila tukikesha naye vijiweni tujue kweli hatua zimechukuliwa
 
Hatua za kinidhamu za nini? Huyo anatakiwa avalishwe bukta ya blue shati nyeupe kidumu na fagio aende kusoma jografia darasa la 5
 
Hawa ni wengi tu, mnashangaa watangazaji, nendeni mashuleni mkashangae walimu wanafundisha kwa kubabaisha wanafunzi masomo wasiyokuwa na weledi nayo. Unakuta mwalimu anafundisha somo fulani huku hajui mada nyingi zilizoko kwenye somo lake, anaishia kurukaruka tu mada. Ukimuuliza mambo madogo ya primary yahusuyo somo lake hajui unabaki kushangaa ualimu kaupataje ingawa ana cheti cha ualimu, labda alikwenda chuoni kujifunza mbinu tu za kufundishia ila inside topic hana back up
 
Nchi yakupigana fix. Alimaanisha hivyo inamaana watu hawajamsikia? Hata hiyo taarifa inakichafua chombo.
 
Professionalism vs Uchawa hahahaha

Na watakosea sana mpaka watakapojitambua.

"Raisi TRUMP AMPONGEZA MAGUFULI" HAWA TBC HAWAπŸ˜πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

HATA MAGU MPENDA SIFA ALIJISHTUKIA
 
Mkisema yeye aliletewa script tu aisome ina maana hakuisoma kabla ya kwenda hewani? Haya, kama mwandishi alikosea yeye alishindwaje kuhariri? Au msomaji huruhusiwi kuhariri unasoma hichohicho usome hata kama unaona kimekosewa? Sasa kama naona imeandikwa rais wa uganda ni kagame nisome hivyohivyo bila kusoma ni museven huku najua ni sahihi? Waandishi wa habari wanapaswa kuwa well know/much know wa maswala mengi sawa na walimu. Kama hujui waone wataalam wa mambo hayo wakujaze ufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…