Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Kosa lake liko Wapi? Si wamesema ni Sahihi kuna mizigo ya kuelekea huko?Hata hivyo, pamoja na maelezo hayo ya mtangazaji uongozi ulimchukulia hatua za kinidhamu mara tu baada ya tukio hilo.
Leo iwe alpha na omega kuposti hii nitawakata makanyagio walayhi
Asulubiweee.Hili Tangazo lenyewe la kukanusha haliko sawa hapo ktk Mwaka..na huyu nae wa kusimamishwq
sina ubavu huo mkuu yule ni pacha wa juma lokoleUnamchukoza Genta?
Nchi yakupigana fix. Alimaanisha hivyo inamaana watu hawajamsikia? Hata hiyo taarifa inakichafua chombo.wamemuonya ripota ila cha kushangaza na mtoa nidhamu badala ya kuandika 12 February 2024 mmeandika 12 February 2023. Ina maana bado hamjavuka mwaka? Yani bado mko nyuma ya majira? Haya ni matokeo ya kukimbilia kuandika vitu haraka haraka mnakosa hata muda wa kuedit.
View attachment 2949130
Ni chawa wa β100. Alisifu mpaka akatoka nje ya uhalisia.
Huyo mtangazaji amesoma mpaka la ngapi?