DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Nimeuliza swali hilo kwa makusudi, kabla hatujafika huko tutumie familia yenu Kama case study maana waswahili wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka!
Baba yako na mama yako wanakaa/walikaa pamoja au umelelewa na singo maza?
We haumoSio kweli hawa vijana walio oa wanalazimsha kila mtu awe kama wao ,kuna tatizo kubwa sana la watanzania kuhamasishana mambo yanayowashinda hata wao.
Hawana hoja mkuu kazi yao kusema kutaa ndoa ni mashoga. Sisi tunangonoka sana tu tunachopinga ni hicho kifungo NDOAkinachokataliwa ni ndoa tu ila wewe hata ukiweza kuwa na wanawake 10 kuwa na tu sio tatizo.
Mnatakiwa mjue kutofautisha iyo mifumo miwili. Kataa ndoa na kataa ngono ni vitu viwili tofauti kabisa
Yap mwenye uhitaji na ndoa anaweza kuvuta ndoa ,japo sijaelewa vizuri mkuu.
Simo kabisa kuhamasisha vitu vya hiyari ya mtu ila mtu akinilazimisha au kuniletea mahubiri uchwara, nitapinga ndoa vikali hata kama ninapenda ndoa😁😁😁😁We haumo
Cheki huyu nae...Nimeuliza swali hilo kwa makusudi, kabla hatujafika huko tutumie familia yenu Kama case study maana waswahili wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka!
Baba yako na mama yako wanakaa/walikaa pamoja au umelelewa na singo maza?
Wanatengeneza negativity wenyewe bila kujijua ni sawa na wale wanaenda kukemea umaskini makanisani mwisho wa siku wanapigika vikali.Wanasema ambao hawajaoa ni mashoga au hawana nguvu
Sasa kwa kauli hii wanafanya kataa ndoa members waongezeke badala ya kupungua.
Wasikukuze we bado mdogo kabisa😅🤣 ndo hicho nachomaanisha mtu km hutaki ndoa jitulize zako sio kuhubiri kila kona ya mtaa, ndo hapo tutajua unataka kuolewaSimo kabisa kuhamasisha vitu vya hiyari ya mtu ila mtu akinilazimisha au kuniletea mahubiri uchwara, nitapinga ndoa vikali hata kama ninapenda ndoa😁😁😁😁
Ila bado mimi sio mkubwa wa kuoa😆😆
Wanatuanza wenyewe mara hatuna pesa, mwisho wa siku simu hazikauki bro ni save ka pesa kidgo wife ni mgonjwa 😆😆😆😆Wasikukuze we bado mdogo kabisa😅🤣 ndo hicho nachomaanisha mtu km hutaki ndoa jitulize zako sio kuhubiri kila kona ya mtaa, ndo hapo tutajua unataka kuolewa
Ma bro lia lia wanatamani kutoka kwenye hizo ndoa ila wanawaogopa wake zao watawaacha kapuku.Hawana hoja mkuu kazi yao kusema kutaa ndoa ni mashoga. Sisi tunangonoka sana tu tunachopinga ni hicho kifungo NDOA
Wanatengeneza negativity wenyewe bila kujijua ni sawa na wale wanaenda kukemea umaskini makanisani mwisho wa siku wanapigika vikali.
Yani kubali ndoa ndio wanaongoza kufungulia nyuzi kataa ndoa 😆😆😆😆😆Ahh!!! Au wanaompinga shetani - mfano hii kataa ndoa wao ndo wameikuza hadi imekuwa brand kubwa chapa GSM.
Kuna mmoja kanuna huko juu naona na wewe unataka kununa😅Wanatuanza wenyewe mara hatuna pesa, mwisho wa siku simu hazikauki bro ni save ka pesa kidgo wife ni mgonjwa 😆😆😆😆
Tulisha fanya makubaliano mimi na wewe 😄😄😄 ila pia siwezi kununa .Kuna mmoja kanuna huko juu naona na wewe unataka kununa😅
Ni kama wanaume wanavyoongoza kufungulia mada zinazohusu wanawakeYani kubali ndoa ndio wanaongoza kufungulia nyuzi kataa ndoa 😆😆😆😆😆
HakikaIf you want to sell your freedom get married
Yani kubali ndoa ndio wanaongoza kufungulia nyuzi kataa ndoa 😆😆😆😆😆