min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Hao sio wanaume ni wavulana ,wanaume tunapita kimya kimya😆😆Ni kama wanaume wanavyoongoza kufungulia mada zinazohusu wanawake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao sio wanaume ni wavulana ,wanaume tunapita kimya kimya😆😆Ni kama wanaume wanavyoongoza kufungulia mada zinazohusu wanawake
Hata kwenye uvulana hawamoHao sio wanaume ni wavulana ,wanaume tunapita kimya kimya😆😆
Hii kataa ndoa ilishapotea na members tulianza jizolea wachumba naona wanaifufua tena ephen_ 😁😁😁😁😁Kweli hata Rais wa kataa ndoa Liverpool VPN na Rais wa wakukwea mnazi dronedrake wameacha kulipia matangazo ya promo yao JF
So kubali ndoa Afisa masoko wao amefeli vibaya Sana
Hii kataa ndoa ilishapotea na members tulianza jizolea wachumba naona wanaifufua tena ephen_ 😁😁😁
Kwanini😁😁Hata kwenye uvulana hawamo
Wanajua mengi kutuhusu kuzidi tunavyojijuaKwanini😁😁
Nipo njia panda ila nachukia chama linaposemwa vibaya😁😁😁Mkuu unataka kusema wewe sio member wa kataa ndoa tena?🤔
Pole sana shemeji!Nipo njia panda ila nachukia chama linaposemwa vibaya😁😁😁
Unataka kusema kikitengenezwa kitabu kwa nyuzi za wanawake humu zitakua na page ngapi?Wanajua mengi kutuhusu kuzidi tunavyojijua
Asante sana shemPole sana shemeji!
Za kutosha zaidi ya asilimia 70 nadhaniUnataka kusema kikitengenezwa kitabu kwa nyuzi za wanawake humu zitakua na page ngapi?
Chama kilishafifia kitambo , ila mtu akifinyiwa kwa ndani huko, siku moja tu, anakuja kututukana humu .Hiki chama cha "kataa ndoa " basi tukifute na wanachama wote turudishe kadi
Nimependa tutumie familia yako maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo!! Je ukipata mtoto wa kike utamfundisha akatae ndoa agawe wastani kwa idadi??Cheki huyu nae...
Familia yangu haihusiani hapa, kila mtu ana maamuzi ya kuchagua namna ya kupanga maisha yake.
Babu zetu walivaa magome, je na sisi tuvae magome?... Tutembee peku?... Tukawinde msituni?
Toa hoja kutetea upande wako kwann mtu aoe ili hali kila kitu unakipata bila kifungo (ndoa)??
Mkuu sisi wala hatuna kelele tumetulia tu na misimamo yetu, sasa hawa ndugu zetu waliooa kutwakucha kufungua nyuzi kuwahusu kataa ndoa na kuleta visa vyao vinavyoonyesha jinsi ndoa zilivyo chungu na ubaya ni kwamba hawana fact zaidi ya kutuita mashogaHiki chama cha "kataa ndoa " basi tukifute na wanachama wote turudishe kadi
Wanatakiwa watafute wapiTafuta na umshirikishe Mungu, Tatizo wengi humu wanatafuta mke Kitambaa cheupe /wavuvi kempu /warehouse /kidimbwi /mtandaoni halafu yakiwakuta wanalia
Chama kilishafifia kitambo , ila mtu akifinyiwa kwa ndani huko, siku moja tu, anakuja kututukana humu .
Kugawa wastani kwa idadi , inatokea hata kama ndoa ipo .Nimependa tutumie familia yako maana mtoto umleavyo ndivyo akuavyo!! Je ukipata mtoto wa kike utamfundisha akatae ndoa agawe wastani kwa idadi??
Kama hauwezi basi si vyema ukafanya hivyo