Maandiko yamefichwa lakin huo ndo ukwel lilith existedUongo. .
Biblia inasema katika mwanzo mbili mnayosema ni uumbaji wa pili hapakuwa na mtu wa kuilima ardhi,
Adam alikuwa wapi?
Sent from my A004SH using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maandiko yamefichwa lakin huo ndo ukwel lilith existedUongo. .
Biblia inasema katika mwanzo mbili mnayosema ni uumbaji wa pili hapakuwa na mtu wa kuilima ardhi,
Adam alikuwa wapi?
Kwenye hayo maboresho binafsi naona ni rejea na si maboresho. Ndo maana nikauliza swali kuhusu kutokuwepo kwa mtu wa kuilima ardhi katika hayo maboresho.mwanzo 1:26-27. imebeba muktadha wote wa uumbaji sehemu ya kwanza.
mwanzo 2;18 uumbaji no2 hii iko wazi . kinachokusumbua wewe ni kukaririshwa tangu ukiwa mdogo hadi wa leo.
Binafsi huwa nikisoma mwanzo2:18... nagundua kuna maboresho mungu aliyafanya tena
Sawa, she existed, but kwa reference ya maandiko kutoka katika kitabu kipi? Kama ni mwanzo 1 na 2 kuna mambo yapo wazi kabisa yanayoonyesha kuwa mwanzo 2 si uumbaji wa pili ukiachana na ule uliochukua siku 6 kumalizika.Maandiko yamefichwa lakin huo ndo ukwel lilith existed
Sent from my A004SH using JamiiForums mobile app
SAsa kutokuwa na kitu chochote Kwenye dunia wakati Kwenye mwanzo 1 kumefanyila Uumbaji huoni Kuna walakini?Hapo naona imeandikwa, hapakuwa na mche wa kondeni, hapakuwa na mvua, wala hapakuwa na mtu wa kuilima ardhi.
Swali: Kama si rejea, kwanini hapakuwa na mtu? Adam alikuwa wapi na uuambaji wa kwanza ulishatokea?
Mkuu Huyo wa kwanza alipoumbwa hakuwekwa Edeni..Uongo. .
Biblia inasema katika mwanzo mbili mnayosema ni uumbaji wa pili hapakuwa na mtu wa kuilima ardhi,
Adam alikuwa wapi?
Safi na hili ndo nilitaka kulisema kwamba adamu wa kwanza alipoumbwa unaona kabisa hakuna story za edeni..Adam na Eva ni mpango rasmi wa Mungu baada ya mipango ya awali kuferi.
Kabla na Baada ya Adam kulikua na Watu wakiishi nje ya mfumo wa Bustani ya Eden na maisha yakaendelea.
AI hataki dhambi[emoji23][emoji23][emoji23]Hizi hadithi za Wayahudi ni nyingi ambapo wale wa mwanzo wanaoamini Mungu wao alikuwa na mwenza/mke aitwaye Asheera
Hivi unafahamu kama hata Biblia kuna maandiko yaliondolewa?Sawa, she existed, but kwa reference ya maandiko kutoka katika kitabu kipi? Kama ni mwanzo 1 na 2 kuna mambo yapo wazi kabisa yanayoonyesha kuwa mwanzo 2 si uumbaji wa pili ukiachana na ule uliochukua siku 6 kumalizika.
Asherah alikuwa Mungu Mke Alikuwa Mke wa yahweAI hataki dhambi[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2937054
Hizi hadithi ni sawa tu na ile hadithi ya kwamba Abraham akitaka kumchinja Ishmael kama sadaka! Hasina ukweli wowote! Kuumbwa kwa Hawa (Eva haikuchukua hata mwezi) Sasa huyo Lilith alikuwa wapi wakati Adam anaumbwa mpaka anawekwa kwenye bustani ya Eden akaonekana hana wa kufanana naye ndipo Mungu akamletea usingizi mzito!Hadithi ya Lilith ni moja ya hadithi za zamani ambazo zimekuwa sehemu ya mapokeo ya baadhi ya jamii. Katika baadhi ya mafundisho ya Kiyahudi ya kale, Lilith anatajwa kama mke wa kwanza wa Adamu kabla ya Hawa. Hata hivyo, ni muhimu kutambua kwamba hadithi hii haipo katika maandiko rasmi ya Kiyahudi au ya Kikristo, kama vile Biblia au Talmudi.
Kulingana na hadithi hizo, Lilith alidai usawa na haki sawa na Adamu, na alipokataa kutii amri za Mungu za kuwa chini ya Adamu, aliondoka kutoka kwa Adamu na Paradiso. Baadaye, Hawa aliundwa kutokana na ubavu wa Adamu, kama ilivyoelezwa katika Biblia.
Hadithi hizi za kiasili za maandishi ya zamani mara nyingi hutumika kuelezea masuala ya kijamii, kiutamaduni, au ya kisaikolojia, na hazipaswi kuchukuliwa kama ukweli wa kihistoria. Ni hadithi za kuburudisha au kufundisha, na haziingiliani na mafundisho rasmi ya dini.
Zoom mpaka uone Eden
These are mermaidsIsaiah 34:14
Uzi mzuri lakin watu wanaufanyie vichekesho huu Uongoina maana Adamu hakua akijua kusex propa? hakua akijua kitu? unaachaje mwanamke kisa anataka woman on top jamani na inavyonogaga😆✋
hizo ni elimu za masonic over....na huko ni kupingana na bible ni kutoamin inshort ni upagan tu.Katika pita pita nimesoma hivo leo. Sio kwenye biblia.
Kwamba Adam alikua na mke wa kwanza anaitwa Lilith ambae nae aliumbwa na Mungu kwa udongo. Sio kutolewa mbavuni kwa Adam.
Ila Adam alivotaka kumdominate Lilith, uyu sista akawa kiburi akakataa kutawaliwa. Wakagombana.
Pia pengine walisema chanzo cha ugomvi ni Lilith kutaka kua on top wakati wa sex, na anasema kabisa ni haki yake. Mambo ya 50/50 hayajaanza leo na mwisho wake wakashindwana.
Hapo ndio Eve akatokea.
Mwenye nyama ataongezea. Elimu haina mwisho.
Nionyeshe andiko hapo mwanzo 2 kama kuna kipengele kinasema adamu aliumbwa tena au alongelea zaidi ya hiyo m,wanzo1:26. kama haipo kwanini aongelewe mwanamke pke yake?Kwenye hayo maboresho binafsi naona ni rejea na si maboresho. Ndo maana nikauliza swali kuhusu kutokuwepo kwa mtu wa kuilima ardhi katika hayo maboresho.
Biblia haijaandikwa kimtiririko unaweza soma. Mwanzo ukajua ndo umeanza kumbe ni katikati, mfano john 1:1 ilitakiwa ianze kuliko mwanzo 1:1Biblia kitabi kigumu sana ukikisoma kama historia
Sent from my SM-N975U using JamiiForums mobile app
True akaenda kuoa hukoNshawahi kuiskia hii pia, ni kama inavosemekana baada ya Kaini kumuua ndugu yake na kufukuzwa kule alipoenda alikuta kuna jamii nyingine inaishi