masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Mkuu siyo rahisi Pasco kuthibitasha posti yake maana, yeye ni mtu wa local politics.Thibitisha
Hizi za kimataifa inaelekea ximempita kwa mbali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu siyo rahisi Pasco kuthibitasha posti yake maana, yeye ni mtu wa local politics.Thibitisha
Wapenzi wa Ali zKiba na Diamondi utawajua tu, mkuu huu si uwanda wako?Inatuhusu nini sisi kuhusiana na mambo yako hayo uliyoeleza hapo?
Busara ilikuwa kuelewa msingi wa mada yenyewe.Mkuu siyo rahisi Pasco kuthibitasha posti yake maana, yeye ni mtu wa local politics.
Hizi za kimataifa inaelekea ximempita kwa mbali.
Laana mnazijua nyie waafrika..huko dunia ya kwanza hawajui huo upuuziBusara ilikuwa kuelewa msingi wa mada yenyewe.
Blair ni nuksi, kila anachoshika ni kawama, ana mikono iliyojaa damu za watu waliouwawa kwa hila huko Iraq.
Kila mmoja apambane na Hali yake
Kama ulimpigia Kura ulifanya vizuriView attachment 1957586
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair.
Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.
Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko.
Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.
Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.
Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq.
Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?
Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.
Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?
Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.
Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.
Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.
Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia.
Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!
Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.
Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam
(Ethiopia) huko kwao.
Mwana JF, mpe neno!
![]()
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk
Huyo SSH wako aliyekuwa makamu wa jitu lile lililouwa wengi unafikiri mikono yake haijachafuka damu? Unawezaje kumtenganisha na jitu wakati alishasema mwenyewe kwamba yeye na jitu ni kitu kimoja?! Wauaji huwa wanatembeleana.View attachment 1957586
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair.
Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.
Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko.
Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.
Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.
Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq.
Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?
Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.
Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?
Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.
Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.
Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.
Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia.
Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!
Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.
Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam
(Ethiopia) huko kwao.
Mwana JF, mpe neno!
![]()
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk
Lugha huwa inamsumbua sanaMkuu siyo rahisi Pasco kuthibitasha posti yake maana, yeye ni mtu wa local politics.
Hizi za kimataifa inaelekea ximempita kwa mbali.
Hata Ibilisi? Mungu mwenyewe hapo kashindwa, according to maandiko lakini.Labda amekuja na kheri this time, kila mtu ana deserve the second chance, ....
SawaAlikuwa huku kwetu Zambia pia leo
UNGETUAMBIA HAPA KWETU KAJA KUFANYA NINI NDIO INGETUSAIDIA HAYA MENGINE NI FITNA TU AMBAZO HAZINA MSAADA KWA NCHI YETUView attachment 1957586
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair.
Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.
Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko.
Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.
Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.
Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq.
Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?
Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.
Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?
Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.
Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.
Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.
Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia.
Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!
Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.
Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam
(Ethiopia) huko kwao.
Mwana JF, mpe neno!
![]()
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk
Kwani sio kweli hayo yaliyosemwa kuhusu Blair mpaka iwe fitna?Duh...!. Hili ni bandiko la fitna!.
P
Hakuna mtu duniani ana jina kama hiloHance Bleks. Sidhani kama alijinyonga
Ni la fitna lakini lina ukweli...wazungu bwana wana kitu,wakikupenda hawakupendi hivi hivi tuDuh...!. Hili ni bandiko la fitna!.
P
Mlishazoea kuishi kikatili chini ya Jiwe, sasa maisha ya kiustarabu hamuyawezi. Nendeni Rwanda kwa PKMadame amezidi ukarimu sijui huo ukarimu mkubwa hivi unatokea wapi.
Mambo ya Sadam na Tzn vinahusianaje? Kama ana pesa za kuwekeza aje hadithi zingine hazina maana kwetu.View attachment 1957586
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.
Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko. Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.
Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.
Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq. Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?
Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.
Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?
Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.
Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.
Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.
Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia. Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!
Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.
Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam (Ethiopia) huko kwao.
Mwana JF, mpe neno!
![]()
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk
Mkuu usiwe na wasi wasi, baada ya Blair kuonana na Samia ujue next Samia ataalikwa kupiga picha na Biden na Johnson then wawakonge CHADEMA mchezo kwisha.View attachment 1957586
Kati ya viongozi wa Uingereza waliowahi kunikatisha tamaa ni Tony Blair. Huyu alikuwa Waziri Mkuu wa Uingereza kati ya mwaka 1997 mpaka 2007.
Wakati akipata Uwaziri Mkuu, ndiye alikuwa kiongozi kijana kuliko wote kwa miaka 185 ya historia ya Uingereza, na alikuwa na miaka 44 tu.
Na alikuwa kiongozi wa chama cha Labour, chama ambacho nami nikiwa Uingereza nilikipigia kura nikiwa huko. Kwa ujumla vijana nchini Uingereza walimkubali sana.
Tony Blair aliongoza vizuri hadi baada ya 9/11 Marekani ilipopigwa World Trade Centre, New York.
Katika hasira na mchecheto wa kulipiza kisasi, Uingereza na Marekani ilibidi waunde maadui, maana hawakujua nani amewapiga.
Adui mmoja aliyesingiziwa ni Saddam Hussein wa Iraq. Huyu akatengenezewa uongo wa kutisha, ati ana silaha za kutisha zinazoweza kupiga hadi New York ndani ya dakika 45?
Na kwamba silaha hizo hazikai sehemu moja zinazungushwa zungushwa ndani ya Iraq ili zisifahamike ziko wapi.
Tony Blair alikuwa mstari wa mbele kupiga kelele kuwa Saddam ana Weapons of Mass Destruction!
Kilichotushangaza wengi ni kuona uongo wa dhahiri ukipigiwa upatu, na tukajiuliza hivi kuna silaha mbaya na hatari kuliko za Nuclear ambazo wakubwa hawa wanazo?
Pamoja na mapingamixi toka mataifa mengi, Marekani na Uingereza walipitisha Azimio Baraza la Usalama Umoja wa Mataifa, kuwa Saddam apigwe.
Saddam akapingwa na kuuwawa.
Pamoja nao wakauwawa wananchi wengi, wanawake na watoto.
Iraq haikuwahi kuwa salama tena.
Mwisho wa siku ikaja dhihirika kuwa hapakuwa na silaha zozote za maangamizi Iraq.
Waliouwawa waliuwawa bure.
Wale waaarabu walioipiga WTC-World Trade Centre, ikaja gundulika walitoka Saudia. Tony Blair na wenzake waligwaya kwa aibu!
Sasa huyu T Blair aliyesababisha vifo vya watu mamilioni wasio na hatia, yupo hapa kwetu, Ikulu.
Sijafurahia sana kiongozi mwenye mikono ya damu kuwa mgeni wa Mama Samia.
Sijawahi kuona nchi za Ulaya na Marekani wakimwalika Mugabe(Zimbabwe), Idi Amin(Uganda) au Mengiste Haile Mariam (Ethiopia) huko kwao.
Mwana JF, mpe neno!
![]()
Blair blamed by Chilcot for 'disastrous and unnecessary' Iraq war
Tony Blair drove Britain to a disastrous and unnecessary war in Iraq, ignoring clear warnings and with “wholly inadequate” planning for the bloody consequences, the Chilcot inquiry concluded today.www.standard.co.uk