Sheiiilaaaaa hahaaHaya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Mwamba Erythrocyte njoo huuku uchekeHaya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Inasikitisha sana. Sasa kulikuwa na haja gani ya kuteketeza matrillion wakati tulikuwa na reli ya kati na tazara.Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Turinge [emoji24]This is africa[emoji23]
Wanajitetea eti zinaweza kupanuliwaHizo behewa ni za meter gauge au standard gauge? Mbona zimatumika kwenye meter gauge?
Siyo ya umeme?Bei lazma iwe juu maana treni hii itakuwa inaendeshwa kwa diesel na SIO umeme kama wanavyojinasibu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hii TRC watatoa ufafanuzi mpaka wachoke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BM coach elfu 9 unapanda VIP na kufika mapemaa... Sijajua wachumi huko LATRA wanatumia vigezo gani...24,000/= tunafika Moro kutoka Dar. Nalipia twende.
Ni ya umeme lakini sio ule wa lukuHii sio ya umeme hii.
Ngoja ashuke toka huko mlimani usikie ufafanuzi wakemkiwasakama sana kwa maswali kama haya watakwambieni ni multi purpose.maana awajuagi kujitetea hawa kina Msigwa.
Hayo sio ya umeme wamewaletea wachaga kwa ajili ya mwezi huu wa 12Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562
Hatupandi ng'ooHayo sio ya umeme wamewaletea wachaga kwa ajili ya mwezi huu wa 12
Mtapanda tu ngoja kindoroko zote zijaeHatupandi ng'oo
Private za majirani zipoMtapanda tu ngoja kindoroko zote zijae
Haya limewashushuka shuuuu.. Wapinzani wote wanaobeza kazi za mama yetu... Mama yetu anaupiga mwingi...
Tayari keshafanikisha. Yale mabehewa yetu mapya yaliyoletwa ya treni yetu ya UMEME yameanza kupiga kazi... Na yanapendeza kweli...
MAMA ANAUPIGA MWINGI.
View attachment 2442562