MLIMAWANYOKA
JF-Expert Member
- Oct 25, 2019
- 631
- 2,247
Unaijua MUKU bro. Sijui kama siku hizi zipo hizo.Palikuwa na lig Red stars kuna jamaa alikuwa na Muku alimpiga jamaa ngumi mpaka akazima..
Na uwanja wa jiwe kuna jamaa alipigwa na mweny Muku nusu afe akawahishwa hospital kipind hicho ndo hospital ya Mwakidila pale kweny shule ya Mwapachu ndo inaanza kufanya kazi angekufa .
Muku wanadai mtu anachanjiwa kuna ishu kama za kimila ua kishirikina maana hawa ni watu wapole ila wanakuwa na nguvu za ajabu wengi wanakuwa na alama kama za chale na hawali baadhi ya vyakula kama bamia ila ni zamani sana ....Hivi ndo ninavyojua na wengi wanakuwa na majini ya kupandisha ila ni wapole sana ..Unaijua MUKU bro. Sijui kama siku hizi zipo hizo.
Nilikuwa nachat na jamaa mmoja inbox akaniambia anamjua huyo David Izengo na jamaa akakiri kabisa kama Ingekuwa sasa angechezea Man U. Kulikuwa na vipaji sana kwenye Ndondo ila nyakati zilikuwa za giza. Kuna watu walikuwa na uwezo hata kuliko wachezaji wakubwa wa sasa ila nyakati hazikuwa sahihi kwetu. Kuna jamaa nilikuwa nasoma naye kuna siku nilijiunga kwenye group la Whatsapp la Sekondary nilipojitambulisha akasema "Jamaa wa Mpira wewe hata ligi kuu ya EPL ungecheza ila basi tu" hao akina Manura, Chama, Mayere n.k wanabebwa na majira na nyakati tu ila kuna watu walikuwa zaidi yao.Kijiweni FC. uyole moja..
Ikaja ikahusishwa kuuzwa na tajiri mmoja wa mashine za mpunga. Wachezaji waka anzisha timu yao.. ZARAGOZA..
humu walikuwepo miamba kama
1.Siasa- Golie, hapa manula akasome
2. Zaka panga mawe
3. Fabian
4. Tiasi
5. Rai
6. Muso
7. Dimini
8. Oden pamwannya
9. Ahazi - mwamba alienda kukipiga hadi zanzibar
10. Mtumba - Ezekiel saa mbili.. Alikipiga hadi tukuyu stars
Kimsingi wale wanakuwa na Majini sio kawaida.Muku wanadai mtu anachanjiwa kuna ishu kama za kimila ua kishirikina maana hawa ni watu wapole ila wanakuwa na nguvu za ajabu wengi wanakuwa na alama kama za chale na hawali baadhi ya vyakula kama bamia ila ni zamani sana ....Hivi ndo ninavyojua na wengi wanakuwa na majini ya kupandisha ila ni wapole sana ..
yupo mmoja niliskia alipambana na mamba ziwa la mabawa pale .
Ile siku jamaa anapiga kuamulia ilikuwa kasheshe ila mpaka kapigana kachokozwa sana maana alikuwa hataki kupigana mpaka mamaake alikuja ...Wakaenda nae ndani kwao kaitwa shekhe kumsomea kama masaa matatu mbele ndo katulia na alifungiwa ndani kavunjavunja vitu kibao.Kimsingi wale wanakuwa na Majini sio kawaida.
Maana ni zamani sana sitokua naikumbuka ila ukitaja eneo nitaikumbuka,ile ligi nadhani ilikua ya mwisho au ya pili kutoka mwisho kwenye ule uwanjaSawa sawa mkuu lile lilikuwa chama, Na zamaani palikuwa na timu ya kuitwa wonder boys kama utaikumbuka.
Ni kweli mkuu! Vipaji vingi vimepotelea pale tukuyu tatizo ya exposure. Last time nimeenda 2kuyu pale uwanja wa ccm pamekua Stendi ya magari, kule tandale bado wanacheza mpira lakina hakuna mzuka km zamaniOscar Fussi alikuwa na kipaji sana lakini ligi kuu hakucheza kipindi yupo kwenye fomu nilikuwa namuona kwenye mechi uwanja wa Tandale na pale Stendi
Oscar miaka ya 2005 akiwa kwenye fomu alifanya majaribio Tanzania Prisons lakini hakucheza ligi kuuNi kweli mkuu! Vipaji vingi vimepotelea pale tukuyu tatizo ya exposure. Last time nimeenda 2kuyu pale uwanja wa ccm pamekua Stendi ya magari, kule tandale bado wanacheza mpira lakina hakuna mzuka km zamani
Vipi sahare haijacheza ndondoAbajaro na Kinesi za Dar
Sijajua mkuuVipi sahare haijacheza ndondo
Mwenye kufahamu tasafali, msaada kwenye tuta.Sijajua mkuu
Mbili chali f.c
Ujiji mwananyamala hii.....
Kipunje alikuwa anchezesha mpira na panga ktk kanzu[emoji23]
Wakati hata sekondari ya kambanwa haijajengwa, uwanja ulikuwepo pale ilipojengwa ile ghorofa.Timu ilikuwa ya pascal ambae ni padri mtoto wa mama bahati.Maana ni zamani sana sitokua naikumbuka ila ukitaja eneo nitaikumbuka,ile ligi nadhani ilikua ya mwisho au ya pili kutoka mwisho kwenye ule uwanja
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Kabisa ndugu, mm nimekulia magomeni kagera, viwanja km shoka, kifa, barafu, garden, quinea, gombelo, kinesi vyote nimevuruga ilikuwa ubabe kweliWewe ndio age mate wangu humu. Kulikuwa na Msako FC, Mfano FC [hii alicheza Mtwa Kihwelo],
Ngurumo FC, Yetu Afrika, Manta Line [zote Mburahati/Kigogo/Luhanga/Mabibo]. Kulikuwa na Kiboko Msheli [Magomeni], Kagera Shooting aka Kombo Ulaya. Jahazi ya Ilala, Mogo FC ya Ukonga, Vita FC, Magomeni Mapipa. Sifa United na Faru FC za Manzese.
Enzi hizo ilikuwa ubabe ubabe, baada ya mechi lazima vurugu zitokee.
Vv