Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
And what difference does it make? Ndege ya Rais tulishanunua Leo kaamua kupanda dude tu.Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Hili jukwaa wote ni wajuajiDah ni vyema kumuelewesha kwanza. Ingawa na humu wanajifanyaga wajuaji hawataki kuelimishwa
Hawezi kukubali maana mjinga daima ujiona ni juu ya wenzakeUda bora upotezee tu, hapo uliingia chaka kidogo na si kosa kabisa. kubali tu kuelimishwa
Sasa hivi nasikia ndege wanao tua pale ni wale tai wa kushika samakiAlizoea kumuona mzee wa show akiwa anatumia Dreamliner kwenda Chattle.
Huu uzi leo umenivunja mbavu na siku hizi nimeamua kuwa msomaji tu. Vijana wanamtetea mzee wetu (R.I.P) kwa jasho na damu.Hili jukwaa wote ni wajuaji
Kuna jamaa wanadai (kama ni kweli) kuwa wananchi wameomba wawe wanaanikia mazao yao kwenye runway na watautunza uwanja vizuri tu. Hakuna matarajio ya ndege kutua hivi karibuniSasa hivi nasikia ndege wanao tua pale ni wale tai wa kushika samaki
Kwani hakuna ndege ya Rais..Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Hapo una kuta kitaa ndiye anayeaminikia kwa madini, kumbe analisha raia matango pori tu.Hawezi kukubali maana mjinga daima ujiona ni juu ya wenzake
Unamaanisha mleta uzi ni mwanafunzi wa Haji Manara?GFA (Government Flight Agency), ndege za serikali ikiwemo ya Rais.
ATCL ( Air Tanzania Limited), Shirika la Ndege Tanzania), kampuni ya usafiri wa ndege inayomilikiwa na serikali.
Mleta Post unakiwango cha chini sana cha kuanzisha hoja, hoja hii ni ya mwanafunzi wa kiwango cha madrasa.
Sasa ataandikaje mambo yasiyo ya kipumbavu wakati yeye ni mpumbavu?Acha kuandika upumbavu.
Kuna watu wanajua Tanzania ya miaka mitano tu...ndio wanaongoza kwa hizi postiUsiwe mbishi wakati kichwani ni empty box. Ndege maalum za Marais wetu zilishakuwepo tangu enzi za Nyerere. Na ndege ya mwisho kabisa kununuliwa ilikuwa enzi za Mkapa!
Ndicho kipindi tulichotakiwa na Waziri wa Fedha wa wakati huo ukiwa chekechea Basil Pesambili Mramba, ikibidi tule majani! Ili tu ndege ya Rais inunuliwe! Magufuli amewavuruga sana nyinyi MATAGA.
We ndo kipofu kabisa!Rudi shule uondoe matongotongo
Na siyo moja, zipo mbili.Ndege ya rais ipo kabla hata magufuli hajawa Rais. Tafuta Utetezi mwingine.
Leo kapanda ipi kwani?GFA (Government Flight Agency), ndege za serikali ikiwemo ya Rais.
ATCL ( Air Tanzania Limited), Shirika la Ndege Tanzania), kampuni ya usafiri wa ndege inayomilikiwa na serikali.
Mleta Post unakiwango cha chini sana cha kuanzisha hoja, hoja hii ni ya mwanafunzi wa kiwango cha madrasa.