let the caged bird sings
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 3,699
- 8,857
Nikisema Hakuna sehemu yoyote kwenye biblia Yesu kasema yeye ni muislam utaacha kumnasibisha na Uislamu ikiwa hoja ni kutajwa?.Hakuna sehemu yyt katika biblia imetabiri kuwa UISLAMU utatawala dunia.
Hilo hakuna.
Km umeliona weka mstari hapa tujadili.
Jibu swali acha longolongo.Nikisema Hakuna sehemu yoyote kwenye biblia Yesu kasema yeye ni muislam utaacha kumnasibisha na Uislamu ikiwa hoja ni kutajwa?.
Kwa hiyo kuja kwake pale kila jicho litakapomwona watakatifu hawatashangilia sababu walishanyakuliwa?Unyakuo utatokea miaka saba kabla ya tukio la kila jicho kumuona. Taifa la Israel litapewa fursa ya mwisho (wiki ya 50 katika unabii wa Daniel maana tayari walikamilisha majuma 49, juma/wiki moja ni miaka saba kinabii).
Kanisa linanyakuliwa na kuepushwa na mapigo ya miaka mitatu na nusu ya pili ndani ya ile miaka saba kama Nuhu alivyoepushwa na gharika. Miaka mitatu na nusu ya kwanza itakuwa amani huku mpinga kristo akitawala.
Najua huwezi jibu nilichokuuliza, kama unabisha nijibu nikuone tofauti na ninavyokuchukulia[ga]siku zote.Jibu swali acha longolongo.
Wapi Bible imesema waislamu watatawala Dunia?
Mfano pale kawe wapotee wote ubaki na makapu ya sadaka! Miracle money hiyo.Ile siku ambapo watu wengi watapotea kwa wakati mmoja duniani kote imekaribia sana. Inaelezwa kwamba taifa fulani lilipochipuka na kukua basi ni ishara. Pia tukio hilo litatokea ndani ya miaka 100 ya taifa hilo, ambayo ni kizazi kimoja.
Aidha, wengi pia watakufa siku hiyo kwasababu baadhi ya watakaopotea watakuwa wakiendesha vyombo vya moto vitakavyopata ajali baada ya wao kupotea ghafla wakati vikiwa kwenye mwendo mkali. Siku hiyo itatisha na itakuwa mwanzo wa mapigo yatakayofuata.
Kwahiyo wewe dhambi zako utazilipiaje? Sisi Yesu Kristo alitulipia kwa mateso na kifo chake halafu tukafufuka pamoja naye kwa ubatizo wa maji mengi.Teh teh teh
Watamkubali baada ya kuua wafuasi wa Yesu mamilioni?
Hii ndio shida ya wakristo.
Siku zote mnadanganywa kuwa Pepo ya Mungu ni kama hayo makanisa yenu yaani mkisema tu "tumekupokea yesu" tayari nyie mtakaa meza moja na mitume wa Mungu mle bata
We uchinje mitume, unyonge watoto , ulawiti watu kisha useme maneno tu aaaa mambo yooote machafu unampa Yesu ayabebe.
We kweli hata akili yako inakubali?
Mungu akupe neema ya wokovu, utalielewa.Kwa hilo upo sahihi kabisa.
Ila kwamba kuna siku Yesu atashuka kama Arnold Schwarzennegger akiwa na mitambo yake tayari kuwateketeza maadui hilo kwangu ni ngumu kumeza..😄
Hao wakatoliki wanaoongozwa na roma hawana uhusiano wowote ya ukristo wa Yesu mwokozi. Hiyo ni dini ya kipagani inayoabudu sanamu.We unashangaa hili?
We hujaona Maprofesa wa chuo kikuu siku ya jumapili wanapigia goti sanamu la mzungu wakiliomba msaada na hali wanajua asilimia 100% kuwa limetengenezwa na mtu na likapakwa rangi?
Shetani wacha aitwe Shetani.
Itakuwa ni siku ya kulia Kwa kusaga menoIle siku ambapo watu wengi watapotea kwa wakati mmoja duniani kote imekaribia sana. Inaelezwa kwamba taifa fulani lilipochipuka na kukua basi ni ishara. Pia tukio hilo litatokea ndani ya miaka 100 ya taifa hilo, ambayo ni kizazi kimoja.
Aidha, wengi pia watakufa siku hiyo kwasababu baadhi ya watakaopotea watakuwa wakiendesha vyombo vya moto vitakavyopata ajali baada ya wao kupotea ghafla wakati vikiwa kwenye mwendo mkali. Siku hiyo itatisha na itakuwa mwanzo wa mapigo yatakayofuata.
Pale atakuja pamoja na kanisa ambalo tayari litakuwa lipo mbinguni. Muda huo Yesu atarudi kwa ajili ya wayahudi maana wanayo fursa ya mwisho kwa miaka saba.Kwa hiyo kuja kwake pale kila jicho litakapomwona watakatifu hawatashangilia sababu walishanyakuliwa?
Mkuu wengi kwenye makanisa ya siku hizi wataachwa. Wapo kimwili sana, hawapo kiroho.Mfano pale kawe wapotee wote ubaki na makapu ya sadaka! Miracle money hiyo.
Kwahiyo wewe dhambi zako utazilipiaje? Sisi Yesu Kristo alitulipia kwa mateso na kifo chake halafu tukafufuka pamoja naye kwa ubatizo wa maji mengi.
Na wakatoliki wanadai hivyo hivyo kwa WAKRISTO WENGINE.Hao wakatoliki wanaoongozwa na roma hawana uhusiano wowote ya ukristo wa Yesu mwokozi. Hiyo ni dini ya kipagani inayoabudu sanamu.
Utadharau na kukashfu ila ni kweli na leo nakushuhudia nikiwa na akili timamu huku nimetoka Church kuwa siku hiyo kweli ipo na inaujia Ulimwengu wote. Jiandae bro kwa umilele wako.Walokole kichaa Chao kuna mda kinatulia wakimeza dawa.
Twende taratibu.Pale atakuja pamoja na kanisa ambalo tayari litakuwa lipo mbinguni. Muda huo Yesu atarudi kwa ajili ya wayahudi maana wanayo fursa ya mwisho kwa miaka saba.
Mkuu wewe sio wa kwanza kuona neema hii ya wokovu ni upumbavu. Walimpinga mtume Paulo mwenyewe na imeandikwa kwenye sura ya kwanza ya waraka wa kwanza kwa wakorintho.Yaani Wewe UZINI.
WEWE UUE
WEWE UBAKE.
WEWE ULAWITI
WEWE ULE MALI ZA WATU.
Halafu Yesu asie na kosa lolote ABEBE DHAMBI ZAKO ZOOTE wewe ukale bata.
HIvi kweli ndugu zangu upande wa Adam huwa mnafikiri kwa kutumia kichwa?
We wqpi umeona kitu kinaingia akilini?
Amkeni enyi watu.
Msamaha anatoa Mungu PEKE YAKE.
Yaani kwa kupenda shortcuts mnampakazia Yesu mambo machafu kabisa mpk mnadai KAFA KIFO CHA LAANA KWA AJILI YENU.
Dah.....
Kweli siku ya malipo ni nzito