Tukio la kupotea kwa watu wengi hapa duniani kwa wakati mmoja limekaribia sana kutokea

Tukio la kupotea kwa watu wengi hapa duniani kwa wakati mmoja limekaribia sana kutokea

Na wakatoliki wanadai hivyo hivyo kwa WAKRISTO WENGINE.
Sasa nani yuko sahihi?
Ukirudi kwenye historia ya roman empire na roman catholic kuanzia Constantine aamue kuufanya ukristo kuwa dini ya rumi basi utaona namna nafasi ya papa ilivyokuwa ya uovu na maangamizi kwa kanisa la Yesu Kristo.

Hawa watu walikuwa waovu kiasi kwamba Martin Luther yule wa ujerumani alipowaonesha maandiko yalivyo waliamua kukataa na matokeo yake wakaongeza vitabu 6 kwenye biblia yao ili kuhalalisha upuuzi wao badala ya kutubu.
 
Twende taratibu.

Unachosema ni unyakuo ni kimya kimya kisha ujio wa YESU utakuwa ni pamoja na walionyakuliwa kuja kuwachukua wayahudi baada ya miaka 7?
Exactly, kanisa litaondolewa kupisha miaka saba ya fursa kwa wayahudi. Unyakuo litakuwa tukio la kimyakimya. Wale watakaoisikia sauti ya Malaika mkuu ndio watakaoondoka kumlaki Bwana Yesu mawinguni.
 
Mimi nadhani kila mtu na aishi maisha yake. Kama wewe ni kati ya wale wateule, hakika utaingia kwenye utukufu kwa njia yoyote ile. Ila kama wewe sio mmoja wao, hata upambane vipi mzee hutasogea hata getini tu pale..

Refer yule jambazi aliesulubiwa na Yesu, yeye maisha yake yote kaishi kama jambazi akiwa hana hili wala lile, ila kwavile alikuwamo kwenye "list", dakika ya mwisho kabisa mwana kapenya uzimani na kuwaacha mitume wa Yesu waliokaa nae mda wote waking'aa sharubu pale.
Na Kuna wengine waliishi vizuri miaka nenda rudi siku iyo akaenda guest na demu akafia huko huko na moto unamuhusu,hapo hapo Kuna mtu Malaya au shoga wakati wa kifo anatubu na kuongozwa sala ya Toba huyo mbinguni kama yule mwizi msalabani aisee kweli ni hatari sana
 
Hahahahah movie zinakuchanganya




Anyway kwa kuwa tuko jukwaa takatifu tuendelee kuheshima hoja



Na Mimi nina suala langu wanasema ipo siku umeme utakatika ghafla na internet duniani kote je ni kweli na nini kitasababisha power ku off ghafla
Hata ukikata si sola zipo au nazo hazitawaka!?
 
Exactly, kanisa litaondolewa kupisha miaka saba ya fursa kwa wayahudi. Unyakuo litakuwa tukio la kimyakimya. Wale watakaoisikia sauti ya Malaika mkuu ndio watakaoondoka kumlaki Bwana Yesu mawinguni.
Nani kakwambia?
 
Ile siku ambapo watu wengi watapotea kwa wakati mmoja duniani kote imekaribia sana. Inaelezwa kwamba taifa fulani lilipochipuka na kukua basi ni ishara. Pia tukio hilo litatokea ndani ya miaka 100 ya taifa hilo, ambayo ni kizazi kimoja.

Aidha, wengi pia watakufa siku hiyo kwasababu baadhi ya watakaopotea watakuwa wakiendesha vyombo vya moto vitakavyopata ajali baada ya wao kupotea ghafla wakati vikiwa kwenye mwendo mkali. Siku hiyo itatisha na itakuwa mwanzo wa mapigo yatakayofuata.
Nakubaliana na hili
 
Hahahahah movie zinakuchanganya




Anyway kwa kuwa tuko jukwaa takatifu tuendelee kuheshima hoja



Na Mimi nina suala langu wanasema ipo siku umeme utakatika ghafla na internet duniani kote je ni kweli na nini kitasababisha power ku off ghafla
Kuna watu wanadhani hizi ni stories ila kiuhalisia Kwa wafuatiliaji wa haya mambo , huu ni wakati wa hatari sana tunaishi , hizi zama ni za mwisho
Hata wale waovu wa kule World economic forum huwa wanatoka mambo mengi sana na yanayokuja kutokea ,
Kila kinachoongolewa world economic forum nawashauri waingie hata YouTube kuangalia vile vikao vyao na wachukue note book waandike hizo predictions Halafu wanaone kama hazitakuja kutokea
Hata covid mwaka 2019 hao watu walisema soon itatokea
Hivi vikao vinavyoendelea wanasema kuna global risks ambazo soon zitaikumba dunia na kusababisha maafa sana

Moja wapo ni hiyo cyber attacks , kwamba itatokea mass cyber attacks za kuzima mifumo ya mawasiliano , benki na miundo mbinu + vifaa vinayotegemea mfumo wa kielektroniki
Kuna risk pia ya mabadiliko ya hali ya hewa ambayo ni ukame wa kutisha ,majanga ya mafuriko nk
Kuna risk ya vita vya wenyewe kwa wenyewe na mataifa kwa mataifa , hasa mwaka huu ,na hii itachangiwa na machafuko ya kisiasa maana wanasema kuna nchi nyingi zina uchaguzi mwaka huu
Pia kuna risk ya Artificial intelligence ambayo itasababisha vitu kama ukosefu wa ajira uliokithiri + lack of opportunities Kwa watu na hivyo umasikini zaidi + uhalifu
Pia kuna risk ya kutokea magonjwa ya kutisha yenye uwezo wa kusambaza kasi duniani na kusababisha maangamizi kwa watu wengi moja ya huo ugonjwa wanasema kuna risk ya kutokea mwaka huu , wanauiita "Disease X"

So hii kitu ni real guys


Fuatilieni vikao vya world economic forum vinavyoendelea huko Davos
 
Mabilionea wakubwa ulimwengu huu kama akina Jeff bezos , mark Zuckerberg , Warren Buffet nk
Tangia mwaka juzi washaanza kuuza Lundo la Hisa toka kwenye makampuni yao na kupata cash wanazotumia kujenga survival bunkers " mahandaki "
Swali la kujiuliza ,ni why ?
 
Kuna waziri wa huko Sweden aliwahutubia wananchi wake juzi kati hapo kwamba raia wa Sweden wajiandae na vita nzito na ya maangamizi inayoweza kutokea muda wowote Europe
Guys , this shit is real
Kuna muda huwa naamini , huu mfumo wa Matrix tuliojengewa wa kuamini kila siku ni sherehe na kukaa kizembe bila preparedness ya aina yoyote na kupuuzia mambo ni wa makusudi kabisa na una lengo lake
 
Watu wanadhani movies hizi ni utani
Kuna messages mule zinatumwa
Na movies zinatoka kila siku zikielezea hili
Kuna movie inaitwa " Leave the world behind " imetoka mwaka 2023 naomba muitafute muiangalie ,maana nayo inaongelea jinsi vitu kama power grid , mifumo ya mawasiliano ,benki nk inavyoweza kuwa compromised na effects zake
 
Usimpotoshe binti wa watu. Mungu amsaidie ashinde majaribu yako.
Dingi we ushaoa,ushazeeka. Huyu niachie ni size yangu na mpaka sasa tupo hatya nzuri tu usishangae akiwa ndo wifi yako,tutakupa card
 
Yesu alifufuka siku ya 3 tena masaa yalikua hayajatimia
Miaka buku ni sawa na siku 1 mbinguni
Kabla ya mwaka 3000 haujafika unyakuo utakua tayari

Mungu atupe mwisho mwema!
2 Peter 3:8
Ni kweli mkuu YouTube ukiingia Unyakuo TV yule jamaa anaelezea Kwa kina.
 
Dingi we ushaoa,ushazeeka. Huyu niachie ni size yangu na mpaka sasa tupo hatya nzuri tu usishangae akiwa ndo wifi yako,tutakupa card
Kijana unatakiwa kuwa na nidhamu. Unataja dingi halafu unasema wifi, uko sawa kweli?
 
Bangi ukiivuta alafu ukashika biblia
 
Back
Top Bottom