Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hiki ndio kinatuuma sana sisi wanaume😅😅Masikini ya Mungu unakuta mkeo ulikuwa unamuheshimu mwenyewe, unapiga tu kifo cha Mende, kumbe mwenzio akienda huko nnje vijana wa hovyo wanapiga mpaka popo kanyea mbingu[emoji24][emoji24]
utakufa vibaya sana 😂
Ubarikiwe wewe.Siwezi kushindana na mwanaume,,mmewangu huwa ananiuliza hivi ukicheat utaniambia ni nini umekosa maana kila kitu nakupa.Mimi mjanja bwana ukipendwa kaa kwa kutulia ule mema ya nchi.
AminaUbarikiwe wewe.
Oya hayo maumivu sio poa mkuu, Kuna jamaa alisema Ni Bora ufiwe na mwenza wako ila sio ugundue mwenza wako anakusaliti....(namuunga mkono)Hiki ndio kinatuuma sana sisi wanaume[emoji28][emoji28]
megawatt 1000 😂Mnaziogopa tandam 😀 😀
Robert Heriel Mtibeli mzabzabBasi hayo ndo matokeo ya kumuacha mke mpweke hamjifunzi kwa Adam tu
Noma sanaOya hayo maumivu sio poa mkuu, Kuna jamaa alisema Ni Bora ufiwe na mwenza wako ila sio ugundue mwenza wako anakusaliti....(namuunga mkono)
🤣🤣🤣 So unataka kumdolishia?msamehe bana alipitiwa tu,ila mwandikishane kuwa hakuna mali yako yoyote itamuhusu,uone reaction yake,nyie ni wazazi msamehe mlee mtoto wenu meembo🙏Nipo sasa nimerudiana na mdada wa kinyarwanda, sijui kama anampango wa kuolewa huko kwao sijui ila nipo nae sasa japo tunakutana siku moja moja sana.
Ila napanga siku my ex wife anikute na mrembo wa kitutsi japo kanizidi urefu kidogo, si unajua watutsi walivyo warefu.
Nataka siku anikute nae nimringishe mwezi uliopita nilijaribu ila sikufanikiwa coz maeneo tuliokuwepo kulikuwa na watu wazima na wengine nafaamiana nao so nikaona noma.
Ndo maana siamni kwenye bahati mbaya , kivipi bahati mbaya , how????????Sawa tuseme ni bahati mbaya sasa kitendo cha kutunza mimba hadi ikakua huku akidhamiria kukusakizia wewe bado ni bahati mbaya?
Kama mwanamke anachepuka kisha kupata mimba na kuilea huku akitarajia atakudanganya huyo ni mtu wa hatari sana
Kitanda hakizai haramu.
Hivi kweli unamuacha mke kusa kuchepuka tuuu!! Hebu kuweni serious na maisha.
Sijawahi ona kitanda kinazaaKitanda hakizai haramu.
Hivi kweli unamuacha mke kusa kuchepuka tuuu!! Hebu kuweni serious na maisha.
Hatimaye umependa tenaI know, hata huyu anatabia ya dharau flani hivi.
Ni mweupe anasura ndefu na pua ndefu , na macho makubwa hivi.
Akicheka pua yake kana inajikusanya hivi. Ukiwa nae kitandani asalale. We acha
😂😂😂Ujue unanifurahisha sana we moronight, Mnyarwanda wako hajambo naona umempata mwenzio nae ana mnyaru😂😂😂Robert Heriel Mtibeli mzabzab
Njooni huku, hawa wadada wanasema kuwa wanataka mume ambaye atampa uhuru, sasa uhuru wakipewa na kigari juu wanabadilika ,
Ukisema wakae home mda water hawataki wanasema mume wangu anipi uhuru, ukisema basi tuwe wote mda wote pia wanasema mume wangu hanipi uhuru.
Sasa dada yetu Kapeace anasema tusiwaache wake zetu kama Adam alimuacha mkewe mpaka akadangaywa na Joka.
(Ni kweli alichosema maana MUNGU alisema mke na mume wawe wote all time)
Sasa iweje sometimes wanataka uhuru wa kwao?
NO🤣🤣🤣 So unataka kumdolishia?msamehe bana alipitiwa tu,ila mwandikishane kuwa hakuna mali yako yoyote itamuhusu,uone reaction yake,nyie ni wazazi msamehe mlee mtoto wenu meembo🙏
megawatt 1000 😂
😊Kivipi ni bahati mbaya.
Nielezee hio bahati mbaya inakuwaje?