jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Sio ndoto bali matokeo ya kutafitiNani amekwambia kuwa tunatishwa zaidi ya ndoto zako?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio ndoto bali matokeo ya kutafitiNani amekwambia kuwa tunatishwa zaidi ya ndoto zako?
Nisome vizuri mjomba ...pitia thread zangu jiridhishe kabla ya kujibu.Kwisha habari yenu. Sijui mtamfanyia nani ule unafiki wenu wa kuimba mapambio na kutaka kumuongezea mhula!
Mataga mmepoteana! Poleni sana. Hamna budi kujipanga upya.
Yawezekana yupo anayeharibu kututisha na kutaka kutuondoa kwenye mpango kazi muhimu wa kuhakikisha tunakuwa huru kikwelikweli.
Ujumbe uwaendee wazalendo na mabeberu pia.kuwa TANZANIA HAIWEZI KUOGOPA KAMWE....Matukio makubwa yanaijenga TANZANIA YA WAZALENDO.
Ipo orodha ya mamilioni ya watanzania ambao wapo tayari kusucrifice maisha yao ili tu Tanzania ibaki kuwa Tanzania.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Tafiti ilifanyika wapi ,lini? method iliyotumika? publication ziko wapi?Sio ndoto bali matokeo ya kutafiti
Kwani umeshahama kambi tayari!!nisome vizuri mjomba ...pitia thread zangu jiridhishe kabla ya kujibu.
Huwa sikai kambi ya wahuni. kambi yangu ni ile ile...ya wazalendo.Kwani umeshahama kambi tayari!!
Bila shaka bado upo kwenye ile kambi yenu kongwe ya Lumumba! Ileeee ya buku 7 kwa siku!!!huwa sikai kambi ya wahuni. kambi yangu ni ile ile...ya wazalendo.
Kwani Samia ni kambi gani?
Huwa sina kambi...ni maslahi ya TANZANIA TUBila shaka bado upo kwenye ile kambi yenu kongwe ya Lumumba! Ileeee ya buku 7 kwa siku!!!
Bahati mbaya hivi karibuni kuliibuka kambi nyingine mpya ya wanafiki na waimba mapambio kwa mwenyekiti wenu! a.k.a MATAGA! Nilidhani upo huko kwa sasa.
Pole sana hizi thread za kisukuma zishaondoka na jiwe tupo zama za fikra mpya!! Mmemponza mwenzenu ushamba umechukua maisha yake kizembe sana!!Yawezekana yupo anayeharibu kututisha na kutaka kutuondoa kwenye mpango kazi muhimu wa kuhakikisha tunakuwa huru kikwelikweli.
Ujumbe uwaendee wazalendo na mabeberu pia.kuwa TANZANIA HAIWEZI KUOGOPA KAMWE...
Thread hizi zilianza kablaPole sana hizi thread za kisukuma zishaondoka na jiwe tupo zama za fikra mpya!! Mmemponza mwenzenu ushamba umechukua maisha yake kizembe sana!!
Mbona kama umepanic?Kwisha habari yenu. Sijui mtamfanyia nani ule unafiki wenu wa kuimba mapambio na kutaka kumuongezea mhula!
Mataga mmepoteana! Poleni sana. Hamna budi kujipanga upya.
Sijawahi kupanicMbona kama umepanic?
Ccm bado iko Ikulu safari hii chini ya mwana mama Samia Suluhu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndugu yako mbelgiji ataendelea kuisikia ikulu kupitia twitter ya kigogo.
Mtapanic ninyi msioelewa mipangoUmepanic
Poleni sana Mataga! Mmepoteana tangu mpendwa wenu aliye wadekeza na kuwasikiliza aondoke! Mtabakia wapweke milele! Hakuna atakaye poteza muda wake kuwa karibu tena na nyinyi.Mungu ibariki tz
Mungu mbariki Rais wetu Samia
Mungu ibariki ccm
R. I. P JPM
Puppets waendelee kulelewa huko waliko
#matagaBado upo kwenye hang over ya kimataga mataga
Usiniweke kwenye kundi hilo kirahisi ha ha haPoleni sana Mataga! Mmepoteana tangu mpendwa wenu aliye wadekeza na kuwasikiliza aondoke! Mtabakia wapweke milele! Hakuna atakaye poteza muda wake kuwa karibu tena na nyinyi.