Uchaguzi 2020 Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yamtangaza Dkt. John Pombe Magufuli kuwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa awamu ya pili

Yaani manamba yote yale waliyokuwa wanampa wakitangaza matokeo ya kura za urais majimboni jumla yake ndio milioni kumi na mbili tu.

NEC wameona aibu wamepunguza idadi ya kura za wizi, mabegi mengine watakuwa wameyatupa hawajayahesabu.

Inaonekana waliokua wanachapisha hizo karatasi walikua wanatoa offer za buy 5 get 1 free.
 
HONGERA Dr John Pombe Joseph Magufuli kwa akichaguliwa tena, kwa kura nyingi, kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Pale unapoandaa tafrija halafu wewe ndio Mc..kamati ya chakula..mapambo na vyote vihusuvyo function hiyo[emoji3]
 
Kwi Kwi Kwi
 
Mkuu, unasema kweli? Ndo chadema wajue kuwa huyo siyo mwenzao.
Taarifa zinasema hivyo! Kwani leo umemuona popote hapa TZ? Inasemekana alioneka tarehe 29/10/2020 Namanga kumbuka pia ile tiketi yake ilikuwa ya tarehe 29/10/2020. Kesho kwenye mkutano wao tutajua kama yupo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…