Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Kusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko

Alichoandika hakiko sawa kisheria

Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
Wewe mwenyewe mbumbumbu juha zuzu huna unachokijua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM wewe ni zero na mchawi mkubwa
 
Tundu Lissu ana akili nyingi sn ndio maana yule mlala kwenye mawe km mjusi anamuogopa sn
 
Waende mahakamani atakuwa mgombea wa mahakama Kama Kafulila kipindi kile
 
Wakuu, kuanzia saa sita kamili mambo yamesimama ofisini hapa.Kila mmoja anashauku ya kusikia Lissu kateuliwa.
 
Back
Top Bottom