Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Viongozi mliopo hapo msile au kunywa chochote watakachowaletea hao jamaaa.Tumehifadhiwa kwenye holding room ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa Dodoma kusubiri kuitwa ndani kwa ajili ya uteuzi!
#TunduLissu2020 #NiYeye2020 #SasaBasi #NguvuYaUmma https://t.co/W1qN5vUz10View attachment 1547530View attachment 1547531View attachment 1547543
Waende mahakamani atakuwa mgombea wa mahakama Kama Kafulila kipindi kile
😂😂😂😂😂😂😂 Kama CCM inavyowapora fomu chademaKuna surprise gani kurudisha fomu ? Tume Wana akili nyingi ndio maana Lisu kapangwa Kwanza arudishe fomu kabla ya ACT wazalendo akirudisha yeye ndie ajiandae kwa surprise sababu ikifika zamu ya ACt wazalendo anaona Membe huyo.anarudisha fomu
Act wazalendo wangetangulia wangefanyiwa fujo na Chadema na hata kuporwa fomu
Chadema ijiandae kwa surprise sio CCM
TBCAtakuwa mubashara kupitia luninga gani bwashee?
Lulu?? Elizabeth Michael real??!!
[/Qw
Wenzako wpo Facebook huko
Wewe troll, utawapa watu wengine heart attack- sijui kama manslaughter itakuhusu kama hii haitakuwa kweliSources from Dodoma told the Electroal commission has nullified a Presidential candidancy of a member of opposition Camp! My collegue is closely monitoring the situation in Dodoma.
More to follow shortly:
Halafu useme Kaijage atatenda haki?Ameshateuliwa, hakusubiri hata sekunde moja
Punguza ujuaji na mihemko kama demu mwenye genyeMmmmmh! Yupo nje ya muda, kulikoni?? Na alikuwa wapi? Tuwe makini na huyu mtu
It will be something very unfortunateSources from Dodoma told the Electroal commission has nullified a Presidential candidancy of a member of opposition Camp! My collegue is closely monitoring the situation in Dodoma.
More to follow shortly:
Hii ccm ni chama cha kishetaniMchezo ule ule wa kwenye msiba wa R.I.P Mkapa
Rais wa mataga vipi amerudisha from au badoKuna surprise gani kurudisha fomu ? Tume Wana akili nyingi ndio maana Lisu kapangwa Kwanza arudishe fomu kabla ya ACT wazalendo akirudisha yeye ndie ajiandae kwa surprise sababu ikifika zamu ya ACt wazalendo anaona Membe huyo.anarudisha fomu
Act wazalendo wangetangulia wangefanyiwa fujo na Chadema na hata kuporwa fomu
Chadema ijiandae kwa surprise sio CCM