Wewe mwenyewe mbumbumbu juha zuzu huna unachokijua zaidi ya kukariri zidumu fikra zisizo sahihi za mtukufu mwenyekiti wa CCM wewe ni zero na mchawi mkubwaKusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko
Alichoandika hakiko sawa kisheria
Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
Kama mna shindwa kwenda na muda ulitaka wakuhifadhi wapi? Ratiba ilikuwa saa sita kamili, wewe unaenda saa saba kasoro. Wakufanyeje?Tumehifadhiwa kwenye holding room ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi hapa Dodoma kusubiri kuitwa ndani kwa ajili ya uteuzi!
#TunduLissu2020 #NiYeye2020 #SasaBasi #NguvuYaUmma https://t.co/W1qN5vUz10View attachment 1547530View attachment 1547531View attachment 1547543
Siyo utaratibu bali ni ushetani wa maelekezo tokea kwa polepole na CCMNdo utaratibu wa NEC ulivyo?
Usimfanishe Magufuli na uchafuHivi na Rais Magufuli alihifadhiwa hapo?
Naona watu wa mahakama wako maeneo haya!wameshikiliwa?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Watakuambia sio vipao mbele vya iyo Saccos yao.Mm Katika Yote...Hapo Ndipo Ninapoishangaa CHADEMA.....
Chama Kikubwa Kinakuwa Km SAU kheeee!!!
With or without mbwembwe mnazozitaka Rais Wetu Tundu Lisu atakamilisha hilo zoezi la leo.Mm Katika Yote...Hapo Ndipo Ninapoishangaa CHADEMA.....
Chama Kikubwa Kinakuwa Km SAU kheeee!!!
Figisu zimeanza tayari!Hivi na Rais Magufuli alihifadhiwa hapo?
Chumba cha ushetani wa CCMFomu ukiirudisha inatakiwa kukaguliwa usahihi ulitaka wakae chumba Cha Tume?
Raisi wa nchi anapokelewa kamanda, ana majukumu mengi ya kitaifa.Hivi na Rais Magufuli alihifadhiwa hapo?
uchafu ???? yakoUsimfanishe Magufuli na uchafu
Naona watu wa mahakama wako maeneo haya!