Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Deep thinking...!!!
 
Kwa nini mnateseka?
mtu mwenyewe ni unfit!
Hata kura milioni moja akizipata ni bahati!
Tangu lini Tanzania ikaongozwa na mropokaji!
 
Kwa mujibu wa Ratiba ya tume iliyotoka ni wazi Wameanza wale wote walioteuliwa akiogoza Magufuli baada ya hapo watafuata ambao tume haikuwateuwa kwa sababu mbali mbali.

TUsubiri tuone ni nani hasa ambao hawakuteuliwa.
Stay tuned
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…