Lutandagula
JF-Expert Member
- Apr 8, 2018
- 1,762
- 2,154
Mbona mna hofu sana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Deep thinking...!!!Tume wanahisi yapo makubaliano ya siri kati ya Lissu na vyama vingine vya upinzani kama ACT etc kwamba Lissu akipitishwa tu na Tume basi vyama vingine visirudishe fomu.
Mfano wanahofu akianza Lissu kabla ya Membe huenda baada ya Lissu kupitishwa Membe anaweza kuahirisha kurudisha fomu.
Lengo la tume ni kuhakikisha kura za upinzani zinagawangika. Baada ya vyama kadhaa vikubwa kuteuliwa ndipo atakaporuhusiwa Lissu. Na baada ya hapo hakuna kujitoa hata sijui Membe au NCCR wakitaka kujitoa tume itakataa itasema imeshachapisha karatasi za uchaguzi, hivyo majina ya vyama vyote kama yalivyo yatatokea kwenye karatasi za kupigia kura tarehe 28 Octoba
Kwa nini mnateseka?Tume wanahisi yapo makubaliano ya siri kati ya Lissu na vyama vingine vya upinzani kama ACT etc kwamba Lissu akipitishwa tu na Tume basi vyama vingine visirudishe fomu.
Mfano wanahofu akianza Lissu kabla ya Membe huenda baada ya Lissu kupitishwa Membe anaweza kuhairisha kurudisha fomu.
Lengo la tume ni kuhakikisha kura za upinzani zinagawangika. Baada ya vyama kadhaa vikubwa kuteuliwa ndipo atakaporuhusiwa Lissu. Na baada ya hapo hakuna kujitoa hata sijui Membe au NCCR wakitaka kujitoa tume itakataa itasema imeshachapisha karatasi za uchaguzi, hivyo majina ya vyama vyote kama yalivyo yatatokea kwenye karatasi za kupigia kura tarehe 28 Octoba
Kuhairisha= kuahirisha
.Ratiba inansema Chadema walitikiwa saa ngapi boss
Ngoja tuoneee inakuaje hapaa...maana huu mziki leo kinanuka
Ungeandika kwa yesu kwa herufi kubwa ningekupiga bonge la ngumi...bahati yako hahahahahahhahaha15:04 no answer, au wanasubiri maagizo kutoka juu ,kwa yesu wa chato?
acha wamkate tutakutana nao mitaani personal
Hivi mwisho saa ngapiM.kiti wa tume anatetemeka.... + hofu
Vimebaki vyama 8
Sasa hivi saa 15.17
acha wamkate tutakutana nao mitaani personal
Hivi mwisho saa ngapiM.kiti wa tume anatetemeka.... + hofu
Vimebaki vyama 8
Sasa hivi saa 15.17
Hahaha kayesu uchwara (kwa sauti ya Lissu)Ungeandika kwa yesu kwa herufi kubwa ningekupiga bonge la ngumi...bahati yako hahahahahahhahaha
Huyo wa chato kweli ni yesu mdogo sio Yesu Mkubwa
Ungeandika kwa yesu kwa herufi kubwa ningekupiga bonge la ngumi...bahati yako hahahahahahhahaha
Huyo wa chato kweli ni yesu mdogo sio Yesu Mkubwa
Sijafahamu,ila nijuavyo itakuwa muda wa kaziHivi mwisho saa ngapi
Tunataka tuone Bwana yake Robert Amsterdam na Serikali ya URT ni nani mkubwa katika dunia hii.HUYU MKURUGENZI WA NEC ANACHOKITAFUTA ATAKIPATA...LAZIMA DAMU IMWAGIKE LEO AMA YAKE AU YETU