Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Membe huyuhuyu aliyetoka ccm kama lowassa?
 
Fake news
 
Anarudisha last minute akidhani time watakuwa wameingwa sana bhas ataipitia kikamilifu sababu ya muda mdogo Leo Leo wapokee na Leo Leo watangaze!! Poor thinking.
Angalia ratiba NEC walimpangia saa 6:00 mpaka saa 6:15 akiwa mtu wa 10.
Cha ajabu CUF walikuwa ni wa 12 wamepitishwa.
 
lakini hata lisu akienguliwa uchaguzi wa mwaka huu hakuna shida, uchaguzi ujao wa 2025 hauko mbali atagombea
 
Magufuli alihakiki Jana fomu zake?
 
Wakuu mmekuepo hapa mkituambia kuwa mtarejesha fomu za Urais leo lakini karibia kila chama kimeshatoa mgombea wa Urais ila ninyi bado mnakwama wapi?
 
I buy your reasoning.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…