secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Tulia ww tutakuoa bila ndoaMnaweweseka magwanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia ww tutakuoa bila ndoaMnaweweseka magwanda
Wakuu mmekuepo hapa mkituambia kuwa mtarejesha fomu za Urais leo lakini karibia kila chama kimeshatoa mgombea wa Urais ila ninyi bado mnakwama wapi?
Mbowe yuko wapi?Lisu fomu yake itakuwa na shida tu.
Comment yako ipo twitter, yule jasusi aliyekimbia vita amei screenshoot.Tume wanahisi yapo makubaliano ya siri kati ya Lissu na vyama vingine vya upinzani kama ACT etc kwamba Lissu akipitishwa tu na Tume basi vyama vingine visirudishe fomu.
Mfano wanahofu akianza Lissu kabla ya Membe huenda baada ya Lissu kupitishwa Membe anaweza kuahirisha kurudisha fomu.
Lengo la tume ni kuhakikisha kura za upinzani zinagawangika. Baada ya vyama kadhaa vikubwa kuteuliwa ndipo atakaporuhusiwa Lissu. Na baada ya hapo hakuna kujitoa hata sijui Membe au NCCR wakitaka kujitoa tume itakataa itasema imeshachapisha karatasi za uchaguzi, hivyo majina ya vyama vyote kama yalivyo yatatokea kwenye karatasi za kupigia kura tarehe 28 Octoba
Magufuli jana alikuja kufanya huo uhakiki?Ila wamefanya uzembe kweli...na kwanini pia hawakuja jana kufanya uhakiki kama alivyofanya membe ?
Tunaenda kununua mafuta ya KY, ccm mjiandae,Wakuu mmekuepo hapa mkituambia kuwa mtarejesha fomu za Urais leo lakini karibia kila chama kimeshatoa mgombea wa Urais ila ninyi bado mnakwama wapi?
Naona UVCCM waliokuwa wamejificha kwenye makabati wameanza kutoka kama mijusi inatafuta jua…Huyo jamaa wanamkata aisee so sad.
Robot bhana..hehe [emoji382][emoji382]Naona UVCCM waliokuwa wamejificha kwenye makabati wameanza kutoka kama mijusi inatafuta jua…
Aisee!....Faraghani Na Membe....
Ule Mpunga Uleeee!!