Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,778
- 4,859
Uzi huu unatembea sana
Kwani ni vibaya kufuata kanuni, sheria na taratibu mkuu? [emoji382][emoji382]Ila tume WALICHOWAFANYIA Chadema Mungu anawaona
Tujiulize , kwanini kutangazwa kwa Magufuli kuwa mgombea hapo NEC hakujaleta msisimko wowote kama ilivyo kwa Lisu?Tunamtaka Lissu.Lissu ni mtanzania mwenzetu na tunataka tumpigie kura.
Mie na familia yangu kura ni kwa Lissu.Watumishi wote kura ni kwa lissu
Nina kaziaNaona UVCCM waliokuwa wamejificha kwenye makabati wameanza kutoka kama mijusi inatafuta jua…
Chadema ndiyo walifuata kanuni kwa uhakika kuliko wengineKwani ni vibaya kufuata kanuni, sheria na taratibu mkuu? [emoji382][emoji382]
Kuliko hata maigizo ya magufuli ya leoUzi huu unatembea sana
Mkoloni Mweusi .................!!Hichi chama dola (Ccm) ni hatari sana.
Washamaliza sehemu yao na NEC wanafanya yao mkuu..Chadema ndiyo walifuata kanuni kwa uhakika kuliko wengine
Kujaza fomu inapaswa kuwa kitu rahisi sana...Hizo fomu za Chadema muda wote huo wanakagua kitu gani, wanalazimisha kutafuta makosa au kitu gani?
Hahaha...wanakagua wadhamini mkuu, tatizo ni pale mtu sijui atapataje Konyagi au wine humo kama hakubeba kwenye mkoba wa fomu.Kujaza fomu inapaswa kuwa kitu rahisi sana...
lkn kibongo bongo kujaza fomu ni kama kubeba tani Saba za mchanga kichwani noma sana!