Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA


tusubiri watrekaji au tusubiri mapingamizi?
 
MWAMBA KATEULIWA kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Sasa mjiandae na kupiga push-ups jukwaani... sasa tunasubiri kujibu mapingamizi (amblyopia tunajua yapo mengi tu kkutoka kwa watu waoga).. #TunduLissu2020 #nohatenofear @TunduALissu
Sema kweli!!?
 
Ngoja kwanza nitulie maana sielewi,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…