Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Yani nina furaha kubwa mno kuliko maelezo!

Sasa ngoja tusubiri wale walioko nje AKA wasiojulikana wana mpango gani!

Siyo siri ccm wanaenda kwa style ya ku “beep”, hawajui nyakati zishawatupa mkono.
Hahahaaaa...... Furaha ya nyani huishia jangwani bwashee!
 
NEC wapumbavu Sana Sasa walimchelewsha mh raisi ili iweje?
 
Hivi ccm mtawaambia Nini watuu
Mnalazimisha machafuko ya tokee ili mchote hela hazina mtokomee uhamishoni🙄😂😂😂
 
mkuu kweli au unatania.? wangemkata tu maana atatusumbua na Amsterdam wake
 
Ndiyo wakaamua kuzima tbc...?!
 
Kwa dhati kabisa nampongeza Tundu Lissu kwa Kuteuliwa kugombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kazi Kwetu wapiga kura kuchagua yupi bora baina yake na Rais Magufuli.

Sina Cha ziada cha kuongezea.
 
Step one Done!! MUNGU tunaomba uwe na sisi watanzania wanyonge, safari bado ni ndefu na ina changamoto nyingi mno bila wewe hatuwezi kitu.

Simama nasi ee Mungu wa Majeshi, muumba mbingu na nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…