johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa...... Furaha ya nyani huishia jangwani bwashee!Yani nina furaha kubwa mno kuliko maelezo!
Sasa ngoja tusubiri wale walioko nje AKA wasiojulikana wana mpango gani!
Siyo siri ccm wanaenda kwa style ya ku “beep”, hawajui nyakati zishawatupa mkono.