Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Wamebana wameachia, Kishambaa a a a a a a .

Madai yao wamdhoofishe kisaikolojia.kumbe wazidisha kura za huruma na ghadhabu vichwani mwa raia.
 
Kwa nini walimweka mwisho sana ?Yaani tumesubiri mpaka basi. Kila lenye Kheri kwa Lissu.
 
Kumbe bado mtihani huko pale pale
 
#NIYEYE #LISSURAIS2020
✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽✌🏽
 
Hongera zake Kama kweli Mimi kama CCM nampongeza Kama kweli
Unampa ongera za nini mnafki mkubwa wewe? Kawapeni hongera waliompiga risasi.

Kaa na hongera zako za kinafki kwa maboss zako wanaokutuma.
 
Hii ndo Breaking News Sasa nilikuwa naisubiria kwa hamu Sana.
 
Hii mishale yote ataishinda tu......

Lissu ni nabii wa Mungu kwa ajiri ya Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…