[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hongera Lisu, ilikua mtifuano mkubwa wa vifungu vya sheria ukatifua hadi vifungu ambayo si wenyewe tulivisahau.
chadema TV mnaboa sana yani mnashindwa kuwa na live coverage au basi hata live updates?? program yenu ya cdm digital mtaiweza kweli?Ni Rasmi Sasa!
Tundu Antipass Lissu mwana wa Afrika na mwanademokrasia wa kweli wa Tanzania amepitishwa rasmi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akiitangazia Dunia Mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage amesema Lissu ametimiza vigezo vyote na Masharti ya kuwa mgombea Urais kupitia Chadema.
Kulikuwa na hofu kubwa katika nchi kuanzia asubuhi baada ya Mgombea wa Chadema Kuwasili katika ofisi za Tume tangu asubuhi saa 5 Kama Ratiba ilivyoelekeza lakini Time haikumteua kwa wakati kwa kile walichodai bado fomu zake kuhakikiwa
😂😂😂😂😂😂Moderator wekeni kibox CHEKUNDU - breeking News HIII NI HABARI MUHIMU SANAAA
View attachment 1547826View attachment 1547826
wangejaribu wangekiona nakwambia!
Kwan goli la mwisho si ndo la ushindi mkuu au hujui...???Kwa nini walimweka mwisho sana ?Yaani tumesubiri mpaka basi. Kila lenye Kheri kwa Lissu.
Tunawaangalia tu,😁😁!Bila kusahau kula mahindi ya kuchoma, waandae mahindi ya kutosha maana ndio sera yao mpya
Hatutaki hongera ya kinafki.baki nayoHongera Tundu Lissu
kama wapo mungu ana sema analipenda sana taifa lake kuliko mwanadam yoyote so hapa tulipo fika sio mda wa kuleta chokochoko tena , amin nawambieni na imekuaYani nina furaha kubwa mno kuliko maelezo!
Sasa ngoja tusubiri wale walioko nje AKA wasiojulikana wana mpango gani!
Siyo siri ccm wanaenda kwa style ya ku “beep”, hawajui nyakati zishawatupa mkono.
Ni bora kujipa moyo kuliko kukata tamaa.Yaaani hyo ndio wanaita ukichomoa nchale na ukichomeka nchale
Sasa ni rasmi CCM WAMEKABIDHI NCHI KWA TUNDU mwana wa LISSU
Moto ungewaka kama wasingempitisha.ilikuwa ni lazima apitishwe mtego aliouweka lissu kupita Mikoani na kusisistiza kuwa uchaguzi unaangaliwa na mataifa hata ingekuwa wewe ndio mtawala lazima ungempitisha-wengi hawakujua kama ni mtego,angejiroga kutafuta wadhamini kimya kimya ingekula kwake.
Kilichobaki Ni kutimiza wajibu wangu kumpigia kura Tundu Lissu, Mungu aendelee kumlinda katika nyakati zoteNi Rasmi Sasa!
Tundu Antipass Lissu mwana wa Afrika na mwanademokrasia wa kweli wa Tanzania amepitishwa rasmi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Akiitangazia Dunia Mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage amesema Lissu ametimiza vigezo vyote na Masharti ya kuwa mgombea Urais kupitia Chadema.
Kulikuwa na hofu kubwa katika nchi kuanzia asubuhi baada ya Mgombea wa Chadema Kuwasili katika ofisi za Tume tangu asubuhi saa 5 Kama Ratiba ilivyoelekeza lakini Time haikumteua kwa wakati kwa kile walichodai bado fomu zake kuhakikiwa