Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Ni Rasmi Sasa!

Tundu Antipass Lissu mwana wa Afrika na mwanademokrasia wa kweli wa Tanzania amepitishwa rasmi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akiitangazia Dunia Mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage amesema Lissu ametimiza vigezo vyote na Masharti ya kuwa mgombea Urais kupitia Chadema.

Kulikuwa na hofu kubwa katika nchi kuanzia asubuhi baada ya Mgombea wa Chadema Kuwasili katika ofisi za Tume tangu asubuhi saa 5 Kama Ratiba ilivyoelekeza lakini Time haikumteua kwa wakati kwa kile walichodai bado fomu zake kuhakikiwa
chadema TV mnaboa sana yani mnashindwa kuwa na live coverage au basi hata live updates?? program yenu ya cdm digital mtaiweza kweli?
 
ilikuwa ni lazima apitishwe mtego aliouweka lissu kupita Mikoani na kusisistiza kuwa uchaguzi unaangaliwa na mataifa hata ingekuwa wewe ndio mtawala lazima ungempitisha-wengi hawakujua kama ni mtego,angejiroga kutafuta wadhamini kimya kimya ingekula kwake.
 
Tumepiga kampeni miaka mitano live kwenye luninga hatuna haja ya kufanya tena kampeni
 
Yani nina furaha kubwa mno kuliko maelezo!

Sasa ngoja tusubiri wale walioko nje AKA wasiojulikana wana mpango gani!

Siyo siri ccm wanaenda kwa style ya ku “beep”, hawajui nyakati zishawatupa mkono.
kama wapo mungu ana sema analipenda sana taifa lake kuliko mwanadam yoyote so hapa tulipo fika sio mda wa kuleta chokochoko tena , amin nawambieni na imekua
 
Oyoooooooo mpiga kura wake nipo namsubir ili nikamchague lisuuuuuuuuuuuuuuuu.But pia niwaombe wapenda mabadiliko wezangu tuhamasishane kupiga kura badala ya kubaki kumshabikia wakati siku ya kupiga kura hatuendi
 
ilikuwa ni lazima apitishwe mtego aliouweka lissu kupita Mikoani na kusisistiza kuwa uchaguzi unaangaliwa na mataifa hata ingekuwa wewe ndio mtawala lazima ungempitisha-wengi hawakujua kama ni mtego,angejiroga kutafuta wadhamini kimya kimya ingekula kwake.
Moto ungewaka kama wasingempitisha.
 
Naona wanachi wa jiji la Dodoma wamelipuka kwa furaha na shangwe baada ya kusikia habari za Lissu kupitishwa na tume ya uchaguzi kuwa mgombea urais.
 
Ni Rasmi Sasa!

Tundu Antipass Lissu mwana wa Afrika na mwanademokrasia wa kweli wa Tanzania amepitishwa rasmi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Akiitangazia Dunia Mwenyekiti wa NEC Jaji Kaijage amesema Lissu ametimiza vigezo vyote na Masharti ya kuwa mgombea Urais kupitia Chadema.

Kulikuwa na hofu kubwa katika nchi kuanzia asubuhi baada ya Mgombea wa Chadema Kuwasili katika ofisi za Tume tangu asubuhi saa 5 Kama Ratiba ilivyoelekeza lakini Time haikumteua kwa wakati kwa kile walichodai bado fomu zake kuhakikiwa
Kilichobaki Ni kutimiza wajibu wangu kumpigia kura Tundu Lissu, Mungu aendelee kumlinda katika nyakati zote
 
Back
Top Bottom