Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Acha kujifanya mchungaji, huku ukiwaita wenzako mashetani.
System ya nchi??? We jamaa bhana [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duh nimefurahi balaa
Chadema msindikizi mpaka afike kwake wanapanga kumkamata Kuna magari ya TISS na police nje ya jengo la tume ya uchaguzi.
Jiwe ajiandae kuondoka Ikulu...
Kashindikiza akatwe system ya nchi imemgomea ngoja sasa aone mziki wake kuelekea October.
Tulia sindano ikuingieMuache kulialia sasa, ili mnyoshwe bila kisingizio.
Maana ilikuwa kila siku nyuzi kwamba tume imeamuriwa isimpitishe kugombea uRais.
Na msisahau kumpa uRais wa Ufipa baada ya uchaguzi.
siviamini tena, maana ilitoka baadaye wakakanusha! sitaki mpaka kesho....Duh nimefurahi balaa
Chadema msindikizi mpaka afike kwake wanapanga kumkamata Kuna magari ya TISS na police nje ya jengo la tume ya uchaguzi.
Jiwe ajiandae kuondoka Ikulu...
Kashindikiza akatwe system ya nchi imemgomea ngoja sasa aone mziki wake kuelekea October.
Mkuu mimi hapa hata hamu ya kula haipo kabisa nahama tu from tweeter to jf ilimradi tu kutuliza nafsiYani nipo mtandaoni kama nafatia series ya money hiyest Lecasa de papel
Nikusubiri kuona hatimaa ya lisu tu daah...
Kukosa akili ni mzigo mkubwa sana. Wewe ulikuwa unapiga kelele,ooh anakatwa kwa sababu hii,ilee,sasa umebadili kauli. Acheni kutumiwa kinyume na maumbile vijana wa yuvisisiemu.NEC wametuachia watanzania tumnyooshe wenyewe sababu wanajua kabisa kua hamna mpinzani
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
Jiandaeni ki-saikolojia mimi nipo gado na kesho saa 9:00 mchana naweka pingamizi kwa nini raia wa Belgium awe kwenye sanduku la kura? Patamu hapo!
sitamwamni mtu mpaka kesho , leo hapana. Molemo alituingisha porini tukachomwa na miibaUna uhakika bwashee?......molemo alituingiza chaka muda mfupi uliopita!
Asante Mungu...Eeh baba wa huruma...UMETUHESHIMISHA...[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Tulia sindano ikuingie
View attachment 1547863na sniper wao alikuwa amejiandaa kumtulinga Lisu.
Mbona Joka unashtuka?..michezo inayoendelea hapa siyo mizuri.
..vijana waliheshimu hili jukwaa kwa kutuma taarifa zilizothibitishwa.
Mkuu usiwe na mashaka nimedhibitisha mimi..hii habari imethibitishwa na nani?