tongelao
JF-Expert Member
- Nov 5, 2018
- 780
- 2,161
Kijana wa Lumumba huna unachokijuaMbona kama vile Lissu amekuwa mpole sana nilitarajia sasa hivi vitisho makamanda waende NEC, Amsterdam atoe tamko na mengineo.
Mwisho wa siku binafsi namuombea wampitishe ila apunguze ujuaji alikuwa na nafasi tangia 22 kupeleka form kama kuna lolote akabadili kabla ya kurudisha, wakati Membe anatumia fursa hiyo alikuwa anamuona pimbi.