Mkuu usiwe na mashaka nimedhibitisha mimi
..kwa hiyo nikamchinje huyu jogoo wangu?
..ajue kama taarifa hizi siyo za kweli nitashindwa kula hata mchuzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu usiwe na mashaka nimedhibitisha mimi
Unavyojitikisa kiuno sindano itakuvunjikia kwenye mroso.Sindano kisa Lissu kuteuliwa na tume?
Mkuu naungana na wewe kumshukuru Mungu kutuvusha hapa kwenye ofisi za NECAsante Bwana Yesu, Asante Bwana Yesu, Asante Bwana Yesu Salary Slip
Mbona Joka unashtuka?
Ndio ukweli wenyewe huo mkuu. Kama unabisha tutakuwekea na hati zake za kusafiria kwenda USA etc. Hatuwezi kukubali kibaraka awe kwenye sanduku la kura. Moto ni moto na uwake tu...Duh!!
..wewe kweli una usongo.
Watampa uraisi wa twita mkuu, maana wa JMT hatumpi ng'oo!Muache kulialia sasa, ili mnyoshwe bila kisingizio.
Maana ilikuwa kila siku nyuzi kwamba tume imeamuriwa isimpitishe kugombea uRais.
Na msisahau kumpa uRais wa Ufipa baada ya uchaguzi.
Tufanye wewe ndio umepitishiwa kitu basi,maana u mzoefu.
Ndio ukweli wenyewe huo mkuu. Kama unabisha tutakuwekea na hati zake za kusafiria kwenda USA etc. Hatuwezi kukubali kibaraka awe kwenye sanduku la kura. Moto ni moto na uwake tu.
Tume ya uchaguzi imepitisha jina la Lissu kugombea nafasi ya uRais wa JMT
please Mshana Jr habari hii ni kweli? Molemo alituingiza chaka , siamini mtu tena mpaka kesho asubuhiAsante Mungu...Eeh baba wa huruma...UMETUHESHIMISHA...[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Uko live kwa chanel gani?Izi habar mnatoa wap wakat hata ukumbin hajaingia watu tuko live
Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
mamako mwenyew atampa itakuwa we mwanae?!.Watampa uraisi wa twita mkuu, maana wa JMT hatumpi ng'oo!
Ngoja nirudishe panga langu uvunguni, nilikuwa naelekea forest kukata migombaMgombea urais kwa tiketi ya
@ChademaTz
wakili msomi
@TunduALissu
ameteuliwa na Tume kuwa mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Safari ya Ikulu kwa
@TunduALissu
inaendelea kuiva!