Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Kijana wa Lumumba huna unachokijua
 
Mbona BBC sasa hivi wanasema Lissu hajapitishwa. Mtangazaji wao aitwaye Mfamao ndiye anayetangaza hivyo? Ila anasema viongozi wa CDM ndiyo wameitwa kuingia ndani ya ukumbi wa Tume ya uchaguzi. Tusubiri tuone.
 
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA wakili msomi Tundu Lissuameteuliwa na Tume kuwa mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Safari ya Ikulu kwa Tundu Lissu inaendelea kuiva-Goodluck Haule on twitter
Nittamini kesho maana kuna taarifa zinachanganya.
 
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA wakili msomi Tundu Lissuameteuliwa na Tume kuwa mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Safari ya Ikulu kwa Tundu Lissu inaendelea kuiva-Goodluck Haule on twitter
 
Nahisi hatopitishwa, giza limeanza kutanda na Tanesco wanataka kukata umeme maeneo ya Dodoma kwa ajili ya kerekebisha hitilafu.

Na TCRA wanasema wanataka kufanya marekebisho ya tower zao Dodoma.
Unaamini kabisa kuwa una akili?
 
Mbna bdo bhana
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA wakili msomi Tundu Lissuameteuliwa na Tume kuwa mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Safari ya Ikulu kwa Tundu Lissu inaendelea kuiva-Goodluck Haule on twitter
 
Duh wewe
 
Kuna uzi humu JF wa kutoa taarifa za Lissu kupitishwa na tume.

Kuna mwanchadema mpaka sasa hivi hapaalipo keshalewa pombe chakali kwa furaha.

Halafu akipata taarifa kuwa bado Lissu ajapitishwa. Atapitiliza afe kabisa kwa jinsi alivyolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…