Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Sawa
IMG_20200825_125650.jpg
 
CDM mna mbwembwe kweli, huyo kamanda mwenye camera kichwani na na lileso puani ndio ulinzi wa TL huo? hahahaha CDM acheni utoto bwana....
 
Mhe. Tundu Lissu Kunguruma leo kwenye ofisi za Uchaguzi Dodoma akirejesha Form ya Kugombea Urais wa Tanzania

Updates
----
Tayari Mweshimiwa Tundu Lissu ambae ni mgombea urais na makamu wake Salum Mwalim wameshafika kwenye ofisi za tume ya Uchaguzi kwa urejeshaji wa Form

View attachment 1547525
Kawa mdogo ka shanga, hivi hapo akiambiwa yuko chini ya ulinzi hamna ujanja, akishakabidhi form kisutu moja kwa moja
 
Kusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko

Alichoandika hakiko sawa kisheria

Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
 
Back
Top Bottom