Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

NEC hakuna holding room,holding room hainaga meza wala hauwezi kuwa na simu,Muda wa kuwekwa holding room ukifika utawekwa tu.
 
Kuna surprise gani kurudisha fomu ? Tume Wana akili nyingi ndio maana Lisu kapangwa Kwanza arudishe fomu kabla ya ACT wazalendo akirudisha yeye ndie ajiandae kwa surprise sababu ikifika zamu ya ACt wazalendo anaona Membe huyo.anarudisha fomu

Act wazalendo wangetangulia wangefanyiwa fujo na Chadema na hata kuporwa fomu

Chadema ijiandae kwa surprise sio CCM
Aaaaiiiseeeee! Hemu ngoja nile kwanza ugali wa mtama umechanganywa na muhogo mboga ni kambale na chanise na mtindi.
 
Sources from Dodoma told the Electroal commission has nullified a Presidential candidancy of a member of opposition Camp! My collegue is closely monitoring the situation in Dodoma.

More to follow shortly:

huyu ni BUKU 7 hana lolote.
 
Back
Top Bottom