Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mume wake alishamshindwa huyo kwa tabia yake ya kukojoa kitandani mara kwa mara.Koko Kama alivyo mumeo?[emoji21][emoji57]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mume wake alishamshindwa huyo kwa tabia yake ya kukojoa kitandani mara kwa mara.Koko Kama alivyo mumeo?[emoji21][emoji57]
Heheee........ Kitanuka sn sn
anafanya kazi kwa maagizo, na sio kwa uadilifuHalafu useme Kaijage atatenda haki?
Hahaha.... Lissu akili kubwaHyo holding room ndo tatizo
Sasa sijajua hicho chumba ndivyo kilivyoandikwa au mbwembwe za lisu
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Mnachekesha kwakweli,mpe jiwe mike tusikie usahihi ni upi😂😂😂😂😂😂Lisu kingereza hajui
Kwa mapenzi nikiyonayo na chadema, you don't need to refund mkuuKama wewe ni Chadema huna haja ya kuzima, I will refund you
Kesho majina ya waliofaulu yatabandikiwa ubaoni!Hivi utangazaji wa maamuzi si kesho? Au wamekuwa efficient sana?
Mkuu mbona una tutenga, hata sisi tunayoitakia CDM mema kwenye hili?Kama wewe ni Chadema huna haja ya kuzima, I will refund you
Aaaaiiiseeeee! Hemu ngoja nile kwanza ugali wa mtama umechanganywa na muhogo mboga ni kambale na chanise na mtindi.Kuna surprise gani kurudisha fomu ? Tume Wana akili nyingi ndio maana Lisu kapangwa Kwanza arudishe fomu kabla ya ACT wazalendo akirudisha yeye ndie ajiandae kwa surprise sababu ikifika zamu ya ACt wazalendo anaona Membe huyo.anarudisha fomu
Act wazalendo wangetangulia wangefanyiwa fujo na Chadema na hata kuporwa fomu
Chadema ijiandae kwa surprise sio CCM
Pamoja na kujenga maflyover bado mnaogopa sanduku la kura😁😁😁😁😁😁😁🐭🐭!!!Safi sana kama ni kweli, kiwakisheni sasa tuone dadadeki, ...
Wewe usimlinganishe mgombea wa ccm vitu vya kijingajingaWengine wote akiwemo mgombea wa ccm walifanyiwa hivyo ?
Hilo ni moja ya kosa kubwa sana. Hawa watu ni wa kuwapiga majimboni!!So wanaungana kwenye uraisi tu?? Huko majimboni mbona ACT na CDM wamerudisha form??
Sources from Dodoma told the Electroal commission has nullified a Presidential candidancy of a member of opposition Camp! My collegue is closely monitoring the situation in Dodoma.
More to follow shortly: