Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Kusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko

Alichoandika hakiko sawa kisheria

Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
Aliwahi kulazwa Mirembe Lissu
 
Kusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko

Alichoandika hakiko sawa kisheria

Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
Hebu taja hiyo sheria inayotumika, itaje jina hiyo sheria.
 
Pona ya CCM ni kumwengua Lissu; nguvu ya kumshinda kwenye sanduku la kura hawana!!

Sasa ngodoigwa ianze...!! Haki lazima isakwe popote pale!!
 
1598351405587.png


Kwenye picha ya kulia, hivi huyo mlinzi nahisi mwenye kifaa kinachotoa raser beam kwenye paji la uso ni robot? Hivi kweli hicho kifaa ni cha ulinzi? Hivi ndio kinafanya akina afande Sirro washindwe kumkamata Lissu kutokana na kumiminiwa risasi hapa Dodoma mwaka 2017?

Yawezekana kama mlinzi kavaa, basi Lissu kawekewa mwilini ili ku-divert risasi, na ku-detect sumu!!
 
Hicho chumba kimekaguliwa na na wanaintelejensia wa Chadema?
Hilo nalo neno...........

Wawe makini hao team ya Chadema, isije kuwa hicho chumba kimekuwa "poisoned"
 
Tume wakague vizuuri izo form,kama kunamahala panukta na akuweka imekulakwake.ukitaka,,,,,,nyani usimuangalie usoni.
 
Kama Kijogoo anapitishwa .... hivi kweli kuna sababu ya mtu yeyeote yule kuenguliwa!! Just being curious!!
 
Nikiona jinsi Ma-CCM yanavyomwogopa Lissu nachekaaaa.. hah...hah....hah!
Kusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko

Alichoandika hakiko sawa kisheria

Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
 
Back
Top Bottom