utajisumbuaje kwa vitu vya kitoto?? vijitoiIli kupata jibu sahihi inabidi ku-test zali, sio yule wa Diamond Platnumz.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utajisumbuaje kwa vitu vya kitoto?? vijitoiIli kupata jibu sahihi inabidi ku-test zali, sio yule wa Diamond Platnumz.
Basi usizime data kamwe, shukraniKwa mapenzi nikiyonayo na chadema, you don't need to refund mkuu
kweli jf kuna vilaza jamanMwenzake kasharudisha yeye hadi saa sita anasubiri nini ?
Uzembe tu, wacha wafunge ofisi
Basi usizime data kamwe, shukraniKwa mapenzi nikiyonayo na chadema, you don't need to refund mkuu
Tunafata list,sio kushika namba ana uchu mbona amewahi sana
Wakuu, yajayo yanastaajabisha
View attachment 1547558
Wengi wao ni wakimbizi kutoka Rwanda , Burundi na Congo drcWkt mwingine najiulizaga Hivi anayeshabikia ccm ni mtz kweli?
AmenMungu wameshak,Shedrack na Abelnego ndie Mungu wa Tundu Lissu
Atatoka Akiwa Salama kwajina la Yesu kristu Amen[emoji120]
Sources from Dodoma told the Electroal commission has nullified a Presidential candidancy of a member of opposition Camp! My collegue is closely monitoring the situation in Dodoma.
More to follow shortly:
Acha uchizi urais haujakoma bado ni mkuu wa nchi hawezi kuchukuliwa kama mgombea wa kawaida hata kama hatoshinda uchaguzi,ana majukumu ya kitaifa,unawaza nini?Hivi na Rais Magufuli alihifadhiwa hapo?
HahahaKwani bodaboda hawajamsindikiza? Ile ford ranger yenye mawe marungu na mashoka iko wapi?
Inaleta mkanganyiko.Why is this??!!
😂😂 Miaka 5 umefanya siasa bado unakosa ushawishi kwa watu mpk uwaze kuua demokrasia. HovyoooooMimi nataka akatwe hayo mengine yote sijali!
Acha tamaa, labda unafahamu sheria za kufumani mgoni wakoKusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko
Alichoandika hakiko sawa kisheria
Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali