Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA

Tundu kissu si unajua Sheria kabisa kwani Sheria inasemaje kuhusu Hilo?

Ni aibu kwa mwanasheria Nguli Kama wewe kulialia mitandaoni Kama M. Kimambi.
 
Kwani bodaboda hawajamsindikiza? Ile ford ranger yenye mawe marungu na mashoka iko wapi?
 
Mkuu haujui kusoma? Amekueleza kwenye ratiba CHADEMA walipaswa kutangulia kuwasilisha fomu kabla ya CUF.Lakini mpaka sasa CHADEMA wamewekwa kando na CUF wameshakabidhi fumu zao.
Tunafata list,sio kushika namba ana uchu mbona amewahi sana
 
Sources from Dodoma told the Electroal commission has nullified a Presidential candidancy of a member of opposition Camp! My collegue is closely monitoring the situation in Dodoma.

More to follow shortly:

Takataka, Lissu lazima awavue Nyupi kwenye Uchaguzi
 
Hauko peke yako kamanda. Waache wakose busara walikoroge. Vuta subira tuwasikie.

Kuna rai ambayo hawakupewa? Acha waige kusikia kwa kenge.
 
Kusubiri uteuzi au kupewa majibu ya Kama Lisu kateuliwa au la? Kwani kurudisha fomu lazima uteuliwe? Lisu mwanasheria koko

Alichoandika hakiko sawa kisheria

Mimi namzidi kumshinda kisheria japo sikusoma sheria Lisu Yuko zero kisheria kwenye hili Mimi namuacha mbali
Acha tamaa, labda unafahamu sheria za kufumani mgoni wako
 
Back
Top Bottom