Rogart Ngaillo
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 908
- 1,911
Ni UHUNI tu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadae wanasema hatukujua kama yupo.Lissu asisubiri mpaka mwisho, wanatakiwa walazimishe sasa hivi kuingia humo ndani bora hilo zoezi livurugike, akikubali kusubiri mpaka mwisho atazuiwa kurudisha au huyo mpokeaji anaweza kuondoka ofisini kwa mlango wa nyuma akisindikizwa na polisi wao waache hapo. Lissu anatakiwa kulazimisha kuingia humo ndani sasa hivi.
Hamna lolote! Lisu atakatwa na Mlivuo waoga chadema, mtaishia kulialia mitandaoni tu.acha wamkate tutakutana nao mitaani personal
😁😁Mwanasheria Koko
Really [emoji44][emoji15]
[emoji1787][emoji1787][emoji3516]
sio kila siku ni jumapiliHamna lolote! Lisu atakatwa na Mlivuo waoga chadema, mtaishia kulialia mitandaoni tu.
Na bado mtapigwa tuuu.....
Aidha wanafuata utaratibu kama walivyochukua. Wa kwanza kuchukua ndiyo wa kwanza kurudisha. So JPM,Shibuda, Lipumba nk walitangulia kuchukua.NEC watakuwa wamepata maelekezo wamuweke pending Lissu kwanza,ili Membe aanze ateuliwe kwanza, wameepusha Lissu kuanza kuteuliwa maana pengine wamenusa kuwa Lissu akitangulia Membe hatofika.
Lisu lazima akatwe maana anazuia ujenzi wa nchi ndogo ya ChatoDalili ya mvua ni mawingu. Hata mimi nimeshangaa.Lissu wakimkata basi itakuwa intelligence ya Magufuli imegundua Lissu atashinda hata iweje. Hivyo dawa ni kumkata tu.
Kama atakatwa kweli nitategemea kukuona mbele kabisaaaa ya mapambano 😂😂😂acha wamkate tutakutana nao mitaani personal
Wataliwa kichwa, tuone maana yajayo.....!Maajabu. Kwenye Ratiba Chadema walikuwa mbele ya chama cha Mbatia. Ila naona chama cha Mbatia wameitwa.
Nakwambia kweli mkuu! Chadema hawawezi jino kwa jino.sio kila siku ni jumapili
Aidha wanafuata utaratibu kama walivyochukua. Wa kwanza kuchukua ndiyo wa kwanza kurudisha. So JPM,Shibuda, Lipumba nk walitangulia kuchukua.