Amefika saa ngapi?Hivi ninyi machizi kweli. Tundu anafanya upumbavu halaf akatwe mseme kuhatarisha amani ya nchi. Amepangiwa saa 6 kachelewa kufika mlitaka nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefika saa ngapi?Hivi ninyi machizi kweli. Tundu anafanya upumbavu halaf akatwe mseme kuhatarisha amani ya nchi. Amepangiwa saa 6 kachelewa kufika mlitaka nini?
Hiazuii mkuu mpaka wagombea wote waishe hata kama saa tatu usiku,ratiba wao wenyewe NEC wameshindwa kuendana nayo.Bado nusu saa aisee
watamtaja tu, hakuna kufunga office mpaka kieleweke pale NECWhy this?
Kukagua kukagua unakagua viroboto Mungu nae akiamua kukukagua kila eneo ai wote tutaishia motoni acheni ushambaSawa sawa, wenzake walikagua fomu jana. Wao wakaenda leo kukagua na kuwakilisha. Saa nyingine hata kama ni mashabiki wa Chadema tuwe tuna reason vyema. Tujiulize kwanini hawakupeleka fomu jana? Hivi leo zikiwa na shida kuna muda wa marekebisho? Tusiwe wa kulaumu tuu. Nasi tukubali muda mwingine kubeba lawama.. Hili ni kosa limefanywa na chama full stop.
Wewew vipi mkuu siku ya kurudisha fomu ni leo na uteuzi unafanyika leo kama hujui si uulize wanaoelewa?Sawa sawa, wenzake walikagua fomu jana. Wao wakaenda leo kukagua na kuwakilisha. Saa nyingine hata kama ni mashabiki wa Chadema tuwe tuna reason vyema. Tujiulize kwanini hawakupeleka fomu jana? Hivi leo zikiwa na shida kuna muda wa marekebisho? Tusiwe wa kulaumu tuu. Nasi tukubali muda mwingine kubeba lawama.. Hili ni kosa limefanywa na chama full stop.
let’s hope for the best but it does not look good at all. Waiting for four hours to return nomination forms Numbisa!?
Una akili kama niniSiyo lazima ajitoe kwa tume anaweza kujitoa kwenye kufanya kampeni mikutano yake ikawa inamnadi mgombea wa CDM mbona simple hakuna namna ya kuzuia hilo
Lissu alifika saa tano na dakika arobaini na tano.Hivi ninyi machizi kweli. Tundu anafanya upumbavu halaf akatwe mseme kuhatarisha amani ya nchi. Amepangiwa saa 6 kachelewa kufika mlitaka nini?
Chadema kazi Kwao walifikiri Membe atajitoa hatarudisha fomu amwachie Lisu Kama Membe karudisha fomu poa Lisu apambane na hali yake Zanzibar Hana chake hapati mbunge Wala mjumbe baraza la wawakilishi Wala kura,kura zote Zanzibar chadema outKesharudisha, una jingine.?
Sijui nikujibu nini?Kwa nini unasema kuwa ''amewaza mbali''? Hata kama wakirudisha wote bado kuna chances za wengine kumuunga mkono wakati wa kampeni. Au watakuwa wanavunja sheria wakimpigia kampeni?
Mwenzake nani?? Kuna ratiba iliyopangwa kwa kila mgombea na muda wake. Vinginevyo ingekua ni mgongano na vurugu.Mwenzake kasharudisha yeye hadi saa sita anasubiri nini ?
Uzembe tu, wacha wafunge ofisi
Zimebaki dk Kam 3 tujue hatiama9 minutes to go
Kakudanganya nani fuatilia LIVE TBC..wamesema bado viwili tuu!! CHADEMA HAIPOSasa ni Lissu anaingia