Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Kitendo Cha Tume ya uchaguzi kuwachelewesha wagombea wa Chadema Mpaka muda huu Ni ushahidi tosha kuwa tume ya uchaguzi wana nia ovu ? Hili Ni swali tujadili , wote kina Hashimu Rungwe , Lipumba , wamekizi vigezo mwanasheria mwandamizi ndio ashindwe tume ebu acheni hizo.