Coach Slamah Hamad
JF-Expert Member
- Nov 12, 2014
- 3,740
- 4,938
Piga keleeeee kwa lisu wakeeeeeeeee
Maandishi yako yamenifanya nimuone Wema Sepetu kwa imagination yangu tena akiwa chakari na kvant kichwani! [emoji23]
No offense Chief!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Piga keleeeee kwa lisu wakeeeeeeeee
Nimeona kweli na TBC wamejitahidi kumuonyesha live wakati anapitishwaWakikujibu TBC unitag
kwahiyo unatakaje kapike huko
Watu wa aina yako ndio mnafanya CHADEMA ionekane ina watu wenye akili kubwa.Hajapeleka kavizia last minute akidhani tume wajinga kuwa kazi Yao kupokea tu si kuhakiki anadhani tume Ni masjala
Nyie na nani? Mimi sina upande ila najaribu kukuelewesha. Huwezi sema mtu fulani hana ushamba huo wakati mwenye mamlaka ni tume. Kwanini umuhusishe magu?Si ndio nyie mliokua mnamlaumu
Wanaposema tume ipo huru mbona huwa mnatokwa mapovu
Hakuna chombo cha habari chochote kunachoonyesha. Kweli Lissu anaogopwa. Na kuwekwa mwishoni ni strategy kabisa ili tusione. ***** Magufuli atazuia yote ili hawezi zuia jambo moja tu,"kifo chake mwenyewe "
Pumbavu mkubwa wewe MATAGANUSU DAMU|NUSU MAJIVU
CCM wenyewe hawamtaki huyu muuaji, mtekaji, wa ndugu zetu. Usibabaishwe na hawa watetezi wanaoshinda humu JF. Hawa wa humu JF ni vijana wasio na ajira but wamepewa ajira isiyo rasmi Lumumba.Nasikia MaCCM yanaruka na kukanyagana, hayaamini upepo ulivobadilika. Magufuli alidhan angepita bila kupingwa. Sasa ajipange.
#twende na Lissu2020.
Kuwa mvumilivu sindano ikuingie.Taarifa za Uzushi kama hizi zipuuzwe