Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Quote me; chochote kinachofanyika Tanzania, kinafanyika kwa mapenzi ya Serikali na vyombo vyake. Tena ni baada ya kujiridhisha ya kwamba HAKUNA madhara. Lissu kugombea kama ilivyokuwa kwa Lowassa, tayari Serikali imeishajiridhisha HAKUNA madhara. Tukutane baada ya Oktoba 28!Mmefurukata weee mwisho wa siku tumewabaninisha kwenye kona ya kitanda.
AiseeeeHata mtangazaji wa BBC wamemblock tcra na ccm hawezi kufanya mawasiliano ili kuhatarisha kinachoendelea
Safi Sana Rais wa awamu ya 6
#Uhuni sasa basi.
Ulitaka aongee kisukuma nini hii ni nchi huru hujakatazwa hata kikorea wee ongea tu ahjussi mkubwa weeeKiingereza cha nini wewe Lissu au unawataarifu mabwana wale waliokutuma ukarudi mbiombio?
na bado Jiwe litasaga unga mpaka lichoke maana tutaliongezea muda wa kutawala.
Nasikia MaCCM yanaruka na kukanyagana, hayaamini upepo ulivobadilika. Magufuli alidhan angepita bila kupingwa. Sasa ajipange.
#twende na Lissu2020.
Waliyekuwa wanamhofia sasa rasmi mgombea urais, NEC ahsanteni kwa kumuongezea umaarufuView attachment 1547968View attachment 1547969
Woyowoyo woyoooooo[emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1732][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji1739][emoji3577][emoji123][emoji1533]Wa jamhuri ya muungano wa Singida[emoji3][emoji3][emoji3]
Mataga mmepanic Lissu is a pain in ur a...s 🤣Quote me; chochote kinachofanyika Tanzania, kinafanyika kwa mapenzi ya Serikali na vyombo vyake. Tena ni baada ya kujiridhisha ya kwamba HAKUNA madhara. Lissu kugombea kama ilivyokuwa kwa Lowassa, tayari Serikali imeishajiridhisha HAKUNA madhara. Tukutane baada ya Oktoba 28!
Na mbeya pia sio singida tuWa jamhuri ya muungano wa Singida[emoji3][emoji3][emoji3]
Yaani hawa wasimamizi wa uchaguzi wanakera sana haiwezekani upinzani tu ndio nakosea kujaza fomu huu uhuni sijui unawasaidia nn?
Kiingereza cha nini wewe Lissu au unawataarifu mabwana wale waliokutuma ukarudi mbiombio?
na bado Jiwe litasaga unga mpaka lichoke maana tutaliongezea muda wa kutawala.
Mbona moto wenu 2015 ulikuwa mkubwa zaidi ya huu na tulipita salama chini ya JPM. Safari hii hata hatuna habari na kampeni. Tunasubiri kupiga kura tu. Lissu akipata asilimia 15% njoo unishushue!Mataga mmepanic Lissu is a pain in ur a...s 🤣
Tangu waanze huu uhuni wao wa kutafuta sababu za kuwaengua wagombea hawajawahi hata mara moja kumuengua mgombea wa maccm.
Wakati mnamshangilia Lissu kuna Wagombea Ubunge kibao wamekatwa, Nadhani bado kuna safari ndefu sana kuitetea Demokrasia..Walikuwa wanachezea shilingi Chooni hawajui hasira za wananchi maana hata wana CCM wana hasira balaa
Ni mapema mno kushangilia subirini aidhinishwe rasmi baada ya mapingamizi.
Mkuu sijahamisha goli, ila natoa tahadhari tu. Sio kwa ubaya.Unaanza kuhamisha magoli mlamu!