othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 6,850
- 11,033
Lisu ni mvunka vikwazo, kesho pia atakushangaza tu we TAGAKihunzi namba 1kakivuka, na kuwekw muda mrefu hapo kumchosha kiakili asipate muda wa maandalizi ya keho mahakamani. Lisu anatafutiwa njia ya kukwamishwa, imeshapangwa nayo ni mahakamani. Ndio kihunzi no. 2. Kukivuka kinaanza kesho.