Tuna hatari zaidi kwa Vyombo vya Habari kuliko wakati mwingine...

Wametekwa na posho pekee
 
SI wahadhiri, si wanafunzi, wote ni wafu wanaotembea.
Sikajiona chuo chenye elites wa kuongea ama kukosoa jambo lenye manufaa kwa nchi. Ni chawa na waganga njaa wakubwa!
Hakuna intellectuals wa kukosoa vitu; wamebakia legends kama kina Ulimwengu, Prof. Shivji, na wachache wao. Walioko vyuoni sasa hivi hawawezi kuthubutu.
 
Kwakutumia akili mnembo nimegundua kumbe tunakaribia kufanya uchaguzi hivyo kuna umuhimu kuwaasa waandishi wa habari kabla ya shari
 
yaani, sasa hivi nawaogopea kweli watu wanaoposti kwenye mitandao "rasmi"... enzi zile hatukuwa rasmi. Mtu ukitajwa unahusika na JF unaangaliwa mara mbilimbili... nakumbuka watu walikuwa wakiingia ofisini wanacheki JF lakini kwa kunyemelea...
 
Ulikuwa ukiwakosoa pia waliomkosoa (yaani mkiwa vitani halafu askari mwenzio anaelekeza silaha upande wako unaogopa), labda hapo ndipo wadau walipoona kwamba na wewe ulikuwa wa "mhimili uliojichimbia chini zaidi."
Hapana; sijawahi kumkosoa mtu aliyekuwa anamkosoa Magufuli labda tafuta mfano unioneshe ambapo nilimuambia mtu asimkosoe au anakosea kumkosoa Magufuli. Ntakaa nasubiri. Ni muumini wa uhuru wa maoni per excellence; hasa maoni yasiyopendwa.
 
Kuwa mzalendo bas mbona mnajizimaga data hivyo?kwa hyo vyombo viwe tu na kazi ya kusifu na kuabudu!!dawa yenu ipo na inachemka ipo siku yenu yaja
 
Hapana; sijawahi kumkosoa mtu aliyekuwa anamkosoa Magufuli labda tafuta mfano unioneshe ambapo nilimuambia mtu asimkosoe au anakosea kumkosoa Magufuli. Ntakaa nasubiri. Ni muumini wa uhuru wa maoni per excellence; hasa maoni yasiyopendwa.
Mwanzoni ulikuwa ukiunga mkono ukosoaji wa serikali na ulikuwa ukiwatia moyo Chadema. Hata ulikuwa ukichapisha makala kwenye Gazeti la Tanzania Daima, ulipoanza kuunga juhudi, ukaanza hata kuwa against Chadema. Nikipata nafasi nzuri ya kupata baadhi ya michango yako ya wakati huo katika context hii nitaileta.
 
mtu kama balile ukimwangalia na ongea yake kwa sasa utagundua kabisa hakuna kitu serikali tayari imenunua ubongo wako hasa SSH,yeye ni kwenye msafara wa mama kula bata tu
 
Ni tofauti sana na miaka ya 2000. Kipindi kile watu hasa vijana walikuwa wanapenda mijadala. Ukisikia kuna kongamano watu wanajaa. Kwa kumbukumbu zangu ilikuwa mkutano wowote vijana watajaa na wanataka kuuliza maswali. Ila leo vijana hawafikirishi fikra zaidi wataulizia kuna chakula? Posho? Ama utasikia ntapata nini?
Leo ukisikia kuna kongamano wanaojaa ni watu wenye muktadha wa vyama vya kujamii au siasa ambayo of course Wana malipo. Kuna shida sana
 
Naunga mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…