Nyumba 4 za kupangisha zina wapangaji wanalipa laki 3 kwa mwezi
Kwa mwaka nilikuwa naingiza milioni 14
Kila nyumba ina vyumba viwili
Nina shida sana katika biashara zangu
Nakupa nyumba zote hizi kwa milioni 150 tu
WAHI SASA...
Nyumba zipo tabata segerea
View attachment 1761249View attachment 1761250View attachment 1761251View attachment 1761252View attachment 1761253
Sqm 900Eneo la kiwanja lina ukubwa gani?
Unaweza kuziweka kama dhamana ukapata Mkopo ukaokoa Biashara zako na nyumba ukabaki nazoHazina shida..mbona nimeeleza hapo juu..
Nina uhitaji wa hizo hela kuokoa biashra zangu zingine
Haiwezekani!Sqm 900
Mkuu hapo kwenye picha nyumba 4 zinaonekana au hazionekani?Haiwezekani!
Usiuze nyumba mpendwa ni bora biashara zife ili nyumba zibaki.Hazina shida..mbona nimeeleza hapo juu..
Nina uhitaji wa hizo hela kuokoa biashra zangu zingine
Ahaante kwa ushauri... Ila maamuzi niliyofanya ndio sahihi...Usiuze nyumba mpendwa ni bora biashara zife ili nyumba zibaki.
kwa kweli mnunuzi chap chap angechangamkia hilo dili.Hazina shida..mbona nimeeleza hapo juu..
Nina uhitaji wa hizo hela kuokoa biashra zangu zingine
Mfano, kama akiwa ni dalali je?Usiuze nyumba mpendwa ni bora biashara zife ili nyumba zibaki.
Shida gan mkuu..nyumba haipo mabondeni..Nvua zikinyesha wapangaji hawapati shida kweli
Hapo sawa mpendwaMfano, kama akiwa ni dalali je?
Alisikika mnyonge akisema kwa sauti.Usiuze nyumba mpendwa ni bora biashara zife ili nyumba zibaki.
150,000,000/14,000,000 = 10.7 years.Nyumba 4 za kupangisha zina wapangaji wanalipa laki 3 kwa mwezi
Kwa mwaka nilikuwa naingiza milioni 14
Kila nyumba ina vyumba viwili
Nina shida sana katika biashara zangu
Nakupa nyumba zote hizi kwa milioni 150 tu
WAHI SASA
Nyumba zipo Tabata Segerea
View attachment 1761249View attachment 1761250View attachment 1761251View attachment 1761252View attachment 1761253
Biashara hii ni uwekezaji wa muda mrefu... Na ni utunzaji wa fedha wenye marejesho mazuri... Sio biashara ya kutaka kukimbizana kutajirika nayo..150,000,000/14,000,000 = 10.7 years.
Ni nani wa kudumbukiza milion 150 , urudishe fedha hizi kwà miaka 10 na miezi 7? Biashara ya nyumba za kupanga ni biashara kichaa
Kuna wengine ndiyo biashara yao kujenga na kuuza..... Bati chakavu wameziba matundu zinapigwa rangi, tofali Nchi 4, mbao za kenchi marijekti/ zilizotumika zikaungwa ungwa...lakini kwa ajili ya Marumaru na Cellingboard ya Jipusamu unaingia mkenge...... Angalia sana hivi vitu....Usiuze nyumba mpendwa ni bora biashara zife ili nyumba zibaki.
Unawekeza kwà kuweka nyumba nne kwenye plot moja yenye hati moja? It's very risksBiashara hii ni uwekezaji wa muda mrefu... Na ni utunzaji wa fedha wenye marejesho mazuri... Sio biashara ya kutaka kukimbizana kutajirika nayo..
Niambie biashara hii kazi yako ni nini hasa kama sio kukusanya 1.8M kwa kila mpangaji kila baad ya miezi 6..
Na jee unajua kwamba at any time unaweza kuuza nyumba hizi kwa bei kubwa kuliko uliyo nunulia?..