Kuwa na nyumba au Asset yoyote ile sio kigezo pekee cha wewe kupata mkopo benki.Ingekuwa hivyo kila mwenye nyumba angekuwa na mkopo benkiMimi ninachofahamu, vitu vinavyouzwa kwa haraka haraka as if Dunia ndio inaisha kesho huwa kuna namna tu, lazima kuna namna, maana kama mwenye nyumba anashida ya pesa, ni kwanini asiende benki akakope hata millioni 200, halafu asilipe , then bank waichukue, basi, mchezo umeisha.
kuna utaratibu wa kazi na details za kuweka mtandaoni..
hiv mtu akisema mwenye nyumba anaitwa nani?....
kweli unaadhani utapaswa kuweka details hapa?
Mkuu fikiria mara 2 jambo unalopinga..
fahamu details za nyumba taarifa binafsi utazipata pindi utakpofanya mawasiliano
mbona wapo wanaopiga simu na kupata details zote
Hiyo nyumba umeona ni ya biashara? na kama hana biashara yoyote ile unadhani benki atawashawishi vp mpaka wampe hiyo hela.Kama ni shida, kwanini asiende kukopa 200 million bank alafu asilipe, then bank wachukue? Problem solved
Ila siamini kwamba ni swali la kijinga.. labda muktadha wa kuuliza ndo haupo sawa.. ila bado linabaki kuwa swali la msingi..
Je kama nyumba ina mgogoro?
Je kama hakukaliki?
Kiwanja/eneo lina ukubwa gani?Nyumba Nzuri sana INAUZWA Tabata BARACUDA MILIONI 160 TU...Wahi sasa
Nyumba ina vyumba vitatu vikubwa kimoja master
Pia ina Dining na sitting room ya kisasa sana
Jiko kubwa na zuri + parking kubwa ya magari
Nyumba ina hati miliki safi kabisa na haijawahi kukopewa benki
Nyumba ipo karibu sana kutoka barabarani ni mwendo wa dakika 1 tu
BEI NIMILIONI 190MILIONI 160 TU......Wahi sasa
Mawasiliano 0677 818283
MILIONI 160 TU .................IMEPUNGUA BEI
View attachment 1797349View attachment 1797350View attachment 1797351View attachment 1797352View attachment 1797353View attachment 1797354View attachment 1797355View attachment 1797356View attachment 1797358
View attachment 1797360
Sqm 485Kiwanja/eneo lina ukubwa gani?
Mali zinazouzwa na bank huwa inapaswa iwekwe wazi ni bank gani inayouza , sio siriWhat if kama nyumba ishachukuliwa na bank imerud tena kuuzwa utashaurije
Sijasema ni tapeliSio kila mtu ni tapeli
Sawa, ila asset ni kigezo cha msingiKuwa na nyumba au Asset yoyote ile sio kigezo pekee cha wewe kupata mkopo benki.Ingekuwa hivyo kila mwenye nyumba angekuwa na mkopo benki
Atawashawishi kwa asset aliyonayo, kwamba anaweza kapangosha au chochote kile, na atawalipa kwa awamu kadhaaHiyo nyumba umeona ni ya biashara? na kama hana biashara yoyote ile unadhani benki atawashawishi vp mpaka wampe hiyo hela.
Asset sio kigezo cha msingi kupata mkopo kwanza jua hilo.Bank huangalia biashara yako kama ndio kigezo kikuu kupata mkopo wa Bank kwani unapo pewa mkopo na Bank wao wanatarajia wewe kufanya marejesho ya mkopo na wao kama Bank kuendelea kupata faida.Sawa, ila asset ni kigezo cha msingi
ndio ma nini hayooHakuna mauzauza humo?
Lakini ni nyumba nzuri
Unafikiri bank ni dukani kwa mangi uneenda tu na documents zako unataka mkopoKama ni shida, kwanini asiende kukopa 200 million bank alafu asilipe, then bank wachukue? Problem solved
HatariUnafikiri bank ni dukani kwa mangi uneenda tu na documents zako unataka mkopo
Kaa kimya hujui hata mkopo ni nini
Biashara sio asset?, nyumba ukiipangisha sio biashara?Asset sio kigezo cha msingi kupata mkopo kwanza jua hilo.Bank huangalia biashara yako kama ndio kigezo kikuu kupata mkopo wa Bank kwani unapo pewa mkopo na Bank wao wanatarajia wewe kufanya marejesho ya mkopo na wao kama Bank kuendelea kupata faida.
Kwa akili yako uliyoitumia hapa kufikiri kuwa na Asset kama Nyumbs ndio kigezo kikuu kupata mkopo brother sio sawa ujawa shuhudia au kusikia Bank zinapata khasara kwa sababu, mfano Nyumba nyingi zimekosa soka nakuuzwa bei ya hasara au kutopata kabisa mteja wa kununu.
Sawa, Toa hoja sasaUnafikiri bank ni dukani kwa mangi uneenda tu na documents zako unataka mkopo
Kaa kimya hujui hata mkopo ni nini
Hata Mimi!Ukiona mtu anakwepa kujibu swali halisi basi kuna shida
Nilisikia jamaa anasema alinunua nyumba usiku hakulala
Na mtifuano wa bwana dalali na wadau ni mkali sanaaaNyumba nzuri....