House4Sale Tunauza Nyumba aina mbalimbali kwa bei nafuu
Hivi kibamba Viwanja vinaenda kwa sh. Ngapi? Mfano kiwanja cha 20m kwa 20m na kipo 2km kutoka morogoro road
 
Nyumba ipo chanika mwisho mjini kabisa
nyumba ina eneo lenye sqm 2000(nusu heka)
nyumba ina vyumba vitatu kimoja master ina jiko, dining, sitting room na public toilet
nyumba ina fensi barabarani inafikika umeme na maji vipo
bei ni milioni 45 tu (fixed)
mawasiliano 0677 818283

137327428_1031370817384472_7838552094701097586_n.jpg
143591560_251683212992150_6326700721501943256_n.jpg
143598745_251683009658837_8233498798622840145_n.jpg
143674234_251683169658821_4335763117843287238_n.jpg
143711529_251682886325516_2468569597097244788_n.jpg
143756473_251683046325500_7898839776973003886_n.jpg
144497354_251683082992163_3795883454413328784_n.jpg
144770430_251682982992173_2799300444421901744_n.jpg



 
Bei nzuri sana hii,
Na anaye uza kweli anashida maana uwekezaji huo na bei inayouzwa haviendani.!
 
Bei nzuri sana wadau na pia nyumba ni nzuri kwa bei hiyo. Kwa matazamo wangu binafsi
 
Dah,nyumba nzuri sana ngoja nikachungulie kibubu kama kitaruhusu ila naamini pungufu kidogo ya hapo utachukua mkuu.
 
Nyumba ipo chanika mwisho mjini kabisa
nyumba ina eneo lenye sqm 2000(nusu heka)
nyumba ina vyumba vitatu kimoja master ina jiko, dining, sitting room na public toilet
nyumba ina fensi barabarani inafikika umeme na maji vipo
bei ni milioni 45 tu (fixed)
mawasiliano 0677 818283

View attachment 1703386View attachment 1703387View attachment 1703388View attachment 1703389View attachment 1703390View attachment 1703391View attachment 1703392View attachment 1703393



Mbona imekaa kama banda la kufugia kitimoto.HAHAHAHAHAAAAA
 
Iko poa Sana mkuu ata Bei ni rafiki sema tu hali sio nzuri
 
Hii nyumba inaonekana imejengwa kwenye mfereji wa maji

Tizama hii picha kwa nje ya dirisha la kushoto, inaonekana kabisa Kuna mafuriko.

Kingine kimazingira inaonekana hii nyumba imetelekezwa,

haionekani Kama Kuna watu wameishi hivi karibuni.

Na desemba mvua zilipochanganya mkurugenz wa ubungo alisema wote walojenga kwny njia za maji wabomoe wenyewe.

Otherwise,
atabomoa na watalipia gharama za ubomoaji.

Ila Kiukweli Bei, Bei Ni nzuri Sana.

KILA la heri atakaenunua
View attachment 1703599
 
Nauza nyumba YENYE eneo kubwa sana ..MILIONI 85
Nyumba ipo kimara suka GOLANI..KM 4 Kutoka Morogoro Road
Ina vyumba vitatu kimoja master ina sitting ,dinning,jiko, public toilet na bafu lake
Mabanda manne ambayo nilikuwa nafugia kuku
Eneo kubwa sana sehemu ya kuingilia unaweza jenga nyumba nyingine kubwaa tu
BEI NI MILIONI 85
WAHI SASA BEI NI YA KUTUPA
Mawasiliano call/sms/whatsapp 0677 818283

1.png
2.png
3.png
4.png
5.png
6.png


 
Tuonyeshe na picha ya hayo mabanda ya kuku niyaone yalivyo
 
Back
Top Bottom